Wakenya watalia akitoka Kenyatta kama Watanzania wanavyolia alivyotoka Kikwete

watanzania wangapi wamelia - ni wale wapiga deal!! ni kweli!
kwahiyo hata wakulima wa korosho ni wapiga deal? wakulima wa mbaazi ni wapiga deal, wafungaji ni wapiga deal, wafanyakazi wa uma ambao hawajapata nyongeza ya mishahara tangu aigie ikulu nao ni wapiga deal, wote wanao bambikiwa kesi ni wapiga deal? wafanyabishara wanao funga biashara ni wapiga deal, wafanya biashara wadogo wanao lazimishwa kununua kitamburisho cha mjasiriamali ni wapiga deal ? ila walio uza nyumba za NHC kwa bei ya kutupa sio wapiga deal ! walio nunua ndege kupitia bungeni sio wapiga deal? walio jenga uwaja wa ndege chato bila kujadiliwa bungeni sio wapiga deal ?
 
kwahiyo hata wakulima wa korosho ni wapiga deal? wakulima wa mbaazi ni wapiga deal, wafungaji ni wapiga deal, wafanyakazi wa uma ambao hawajapata nyongeza ya mishahara tangu aigie ikulu nao ni wapiga deal, wote wanao bambikiwa kesi ni wapiga deal? wafanyabishara wanao funga biashara ni wapiga deal, wafanya biashara wadogo wanao lazimishwa kununua kitamburisho cha mjasiriamali ni wapiga deal ? ila walio uza nyumba za NHC kwa bei ya kutupa sio wapiga deal ! walio nunua ndege kupitia bungeni sio wapiga deal? walio jenga uwaja wa ndege chato bila kujadiliwa bungeni sio wapiga deal ?

Magifululi has worked to stabilize prices of commodities and inflation instead of raising salary.

He could have raised salary, but let prices of commodities to rise which could have had little effect.

Ever wondered why kenya keep raising salaries but they are hungry???

Magufuli achape kazi aisee
 
Kenya tunaendeshwa na katiba mpya na nzuri tuliyotengeneza wenyewe tofauti na ile ya mkoloni iliyoumba miungu watu. Rais Uhuru hana budi ila kuheshimu katiba maana imenyoosha urais hadi basi. Hata akiondoka waje wengne kumi, bado tutakua sawa maana tunaongozwa na utawala wa sheria, sio miaka ile ambapo ilikua ni mwendo wa mapambio ya kumsifia rais na kuunga juhudi, yaani ilikua ukichepuka kidogo tu, inakula kwako.
Watu walikua wanapanga foleni ikulu kwenda kumuimbia rais mapambio wengine wanampa zawadi, wengine wanamuomba misamaha hata ya makosa ambayo hawajatenda, ilmradi msipishane kimtazamo.

Leo hii rais anakosolewa na kurekebishwa hadharani mbele ya umati akiwemo pembeni anaskliza. Ungethubutu enzi zile, ung'olewe makucha na meno. Wasiojulikana walikua wanazunguka kote wakikamata kamata watu.

Kenya ya enzi za Kipande ilitisha zaidi ya Tanzania ya sasa
 
Magifululi has worked to stabilize prices of commodities and inflation instead of raising salary.

He could have raised salary, but let prices of commodities to rise which could have had little effect.

Ever wondered why kenya keep raising salaries but they are hungry???

Magufuli achape kazi aisee
none sense
 
kwahiyo hata wakulima wa korosho ni wapiga deal? wakulima wa mbaazi ni wapiga deal, wafungaji ni wapiga deal, wafanyakazi wa uma ambao hawajapata nyongeza ya mishahara tangu aigie ikulu nao ni wapiga deal, wote wanao bambikiwa kesi ni wapiga deal? wafanyabishara wanao funga biashara ni wapiga deal, wafanya biashara wadogo wanao lazimishwa kununua kitamburisho cha mjasiriamali ni wapiga deal ? ila walio uza nyumba za NHC kwa bei ya kutupa sio wapiga deal ! walio nunua ndege kupitia bungeni sio wapiga deal? walio jenga uwaja wa ndege chato bila kujadiliwa bungeni sio wapiga deal ?
uko sahihi kabisa, semasikunyambulisha wengi namna hiyo
kutomotisha watu ni silika kiongozi anayeangalia vitu na michakato badala ubinadam wa hao wanaofanya kazi hizo kazi
Taylor type!!
 
kweli mimi mjinga ila wewe mpumbavu, angalia mnavyo lazimishwa kumwabudu sizoje kama mungu wenu.
Unaropoka ww na una pombe za asubuhi.
Hiyo kenya nani kakwambia hawaburuzwi????
Ulifuatilia yale mauaji ya uchaguzi 2007??
Kenya kuna nepotism na tribalism kichizi.
Ugawaji wa social welfare kwa tribalism or nepotism ni uburuzwaji tosha.
Usitake ropoka hapa.
 
kwahiyo hata wakulima wa korosho ni wapiga deal? wakulima wa mbaazi ni wapiga deal, wafungaji ni wapiga deal, wafanyakazi wa uma ambao hawajapata nyongeza ya mishahara tangu aigie ikulu nao ni wapiga deal, wote wanao bambikiwa kesi ni wapiga deal? wafanyabishara wanao funga biashara ni wapiga deal, wafanya biashara wadogo wanao lazimishwa kununua kitamburisho cha mjasiriamali ni wapiga deal ? ila walio uza nyumba za NHC kwa bei ya kutupa sio wapiga deal ! walio nunua ndege kupitia bungeni sio wapiga deal? walio jenga uwaja wa ndege chato bila kujadiliwa bungeni sio wapiga deal ?
Kuhusu korosho na mbaazi mistake za kisoko ilifanyika.
Hao wamachinga unaowasemea wanalipishwa 20k ya vitambulisho uliza kipindi cha kikwete hali yao ilikuaje??
Walikua wakitandikwa na kuvamiwa na mgambo wa jiji na kufurumushwa jijini.Ila Magufuli kawaachia wafanye biashara watakavyo.
Mama ntilie walikua wakilia kwa kumwagiwa majungu yao ya ubwabwa je sasa hiv unasikia hivyo vilio???
Watu wanauza ubwabwa hadi vichochoroni.
Kuhusu hizo ndege itizame Tz kipindi cha tawala za nyuma ilikua na hali gani ktk usafiri wa anga na tizama sasa hv tuna hali gan ktk usafiri wa anga.
Kuhusu chato hakuna rais ambaye hajajenga kwake hata Kikwete kajenga kwake.
Na hakuna mtu anayelazimishwa kumuimbia mapambia Magufuli hatta kidogo.
Kila mtu yuko bize na yake.

Hii ndio Kenya unasema watamkumbuka Uhuru!!!!!!!!!

 
Tanzania ya sasa hunikumbusha Kenya ilivyokua zaidi ya miaka ishirini iliyopita.
Msimfananishe Magufuli na Moi ninyi watu.
Hakuna anayelazimishwa Tz kumsifia Magufuli km Moi alivyofanya.
Tz fanya yako utakavyo ila usiingilie tu serikali.
You are free to do what you want without interfering government.
 
Back
Top Bottom