WAKENYA wanaweza kuchagua "MATATIZO" Kwa Jina la Ukabila

aisee roho zote nipewe lakini si kama hii jamani, yaani kufa kufaana ina maana hii kweli? kwamb 1,200 pipo dearth mean economical opportunities kwa wengine? no dear fried,.., mbona tunatungua semi zetu nzuri za kiswahili mchana kweupe? Kufa kufaana nadhani ina maana mwenzio anapokutwa na msiba basi weye jitahidi kumfaa kwenye kipindi chake kigumu, msaidie, mpe pole kwa maombolezo ya msiba au tatizo linalomkabii, si muda wa kukumbushia mabaya yake kama madeni na ugomvi mwingine, ni muda wa kumfaaa hata kama alikuwa adui ndio maana ya Kufa kufaana sio kama hii unayoipotray Ulukolokwitanga .
Hawa jamaa wana roho mbaya sijapata kuona. Halafu wanatudharau sana watanzania, I have been to Nairobi several time nimejikuta siwapendi kabisa.

Sio vizuri kuombea jirani yako matatizo, lakini hawa jamaa matatizo yao ya kujitakia na yanachagizwa na roho zao mbaya.
 
Hawa jamaa wana roho mbaya sijapata kuona. Halafu wanatudharau sana watanzania, I have been to Nairobi several time nimejikuta siwapendi kabisa.

Sio vizuri kuombea jirani yako matatizo, lakini hawa jamaa matatizo yao ya kujitakia na yanachagizwa na roho zao mbaya.

kwani wamefanya kosa gani kukudaharu?
 
kwani wamefanya kosa gani kukudaharu?
Kwani na mimi nimefanya kosa gani kusubiria waanza kuchinjana kama kawaida yao na sisi wabongo tupate business opportunities. By the way waliokuwa wananidharau kwa kuwa ni mTZ walikuwa ni wachovu kwa kila hali ukilinganisha na wabongo wengi wenye status kama zao lakini hulka yao ya kujiona bora kuliko wengine ndo inawaponza.
 
Kwani na mimi nimefanya kosa gani kusubiria waanza kuchinjana kama kawaida yao na sisi wabongo tupate business opportunities. By the way waliokuwa wananidharau kwa kuwa ni mTZ walikuwa ni wachovu kwa kila hali ukilinganisha na wabongo wengi wenye status kama zao lakini hulka yao ya kujiona bora kuliko wengine ndo inawaponza.

Hebu angalia JF nzima imejaa habari za Uchaguzi wa Kenya, kuna Watz hawalali wanataka kujua nani mshindi Kenya, wakati Wakenya hata ukiwauliza wakutajie vyama vya Siasa TZ labda wanaijua CCM, Uchaguzi wa Tanzania hakuna Mkenya anayejishughulisha kuufwatilia, na hakuna TV yao itakayoonyesha live sasa kwa nini wasilinge na kujiona wako juu yako? hata kama ungekuwa ni wewe, ni asili ya Binadamu, unapotukuzwa na kuabudiwa unajisikia!
 
Hebu angalia JF nzima imejaa habari za Uchaguzi wa Kenya, kuna Watz hawalali wanataka kujua nani mshindi Kenya, wakati Wakenya hata ukiwauliza wakutajie vyama vya Siasa TZ labda wanaijua CCM, Uchaguzi wa Tanzania hakuna Mkenya anayejishughulisha kuufwatilia, na hakuna TV yao itakayoonyesha live sasa kwa nini wasilinge na kujiona wako juu yako? hata kama ungekuwa ni wewe, ni asili ya Binadamu, unapotukuzwa na kuabudiwa unajisikia!
Hata mwanaume anavyomtongoza mwanamke huwa anafumfuatilia sana. Sisi wabongo tumegundua kuwa wakenya walinufaika sana na rasilimali zetu wakati tuna practice ujamaa na kujitegemea na sasa tunataka kuwashika. Ndio maana tunafuatilia kwa makini maana ukitaka kumshinda adui lazima ujue mbinu zake.

Watakapoanza kuchapana mapanga kwa ukabila wao mizigo ya Uganda itakwama na hivyo kupitia Tanzania, which is a business opportunity. Bandari ya Mombasa ikifungwa sisi huku mizigo yote tunaikamata. Tanzanians will be very stupid kama hawataki kufuatilia nini kinaendelea Kenya na kukimbilia opportunity zitakazoletwa na machafuko
 
Let kenyans decides, what they want to decide, who are u to decide for them!
''Ya wakenya waachie wakenya we hayakuhusu, shughurikia 60% zero za future generation ya nchi yako''.
Tanzanians are too experts on other people's business while theirs are too high for them!.. shame.
 
Hata kama "adui una muombea njaa" kwa Tanzania hii hatujakaa ki-mkakati, hata kama tutabaki peke yetu tuna amani Africa tutachemka tu,subiri uone south sudani na somalia, wataibuka wakubwa ki-uchumi sisi tunacheza tu, angalia Msumbiji,Rwanda, etc sisi tupo wapi, tumenywea,

Kenya ikiingia kwenye machafuko ni fursa nyingine kwa Tanzania kuimarisha biashara na nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC. Na pia South Sudan. Mwaka 2007 tulipata fursa kama hii lakini hatukuitumia. Kufa kufaana
 
Back
Top Bottom