Wakenya wamemuuliza obama kwa nini hajatembelea kenya

Ujio wa Obama ni muhimu, ila hamna anayemulaumu kutokuenda Kenya maana sababu alizotoa ni muhimu pia, haswa kisiasa Marekani. Kwa kuwachagua watuhumiwa, tulikua na sababu zetu, kwa maoni ya wengi wetu tunaelewa chanzo cha vita na wanaopaswa kuwa watuhumiwa. Hawa wawili walitumika tu kama sacrificial lamb, tuliwapa kura maana tunaelewa vile mchezo ulichezwa kuwahusisha, ila sasa hamna lingine bali wao kujitoa ICC.
 
Governments are not buddies with each other, they exist to further their interests and protect their own citizens. If two countries interests overlap a lot, then great, they can cooperate on many things, if the interest collide in some issues, then the cooperation between the countries reduces or dies all together. Kenya is no exception, the United States government was not impressed by the choice we made on March 4th, forgetting that Kenya is a sovereign state and the elections were free and fair. Though I personally didn't vote for or give support to UhuRuto, I will not support a president that is forced down our throats by another country, even if it means being snubbed by all the presidents in the world.
 
Sijswahi kuona ujinga na upumbavu wa Nairobi Walker kwenye post zake za kuwadharau Watanzania, eti hakuna Mtanzania wa kumwajiri kazi Mkenya! wakati Wakenya kibao wamejazana bongo wakifundisha kwenye International Schools za Wwatanzania, sijawai kuona jitu jinga kama hili.
 
Ujuwe wakenya wanakawaida ya kuficha ukweli wakati ukweli unakawaida ya kupenda kutembea uchi kama ulivyozaliwa....obama ni mjaluo ambaye baba yake alikulia kenya lakini origin ya babake obama ni shirati iliyoko jimbo la rorya ndani ya mkoa wa mara nchini tanzania...

Sasa obama anapotembelea nchi ambayo ndio chimbuko la baba na babu zake wao wanalialia....hapo kegolo mzee obama aliamia tuu nila kwao kabsaaa ni mara tanzania...au mmesahau wakenya huwa wanasema mlima kilimanjaro upo kwao??...

Wakenya wekeni ukweli wazi muishi kwa amaniii....kweli itawaweka huru kwelikweli...mwacheni obama alete wajukuu kwenye kitovu cha kweli cha asili ya babu wa babu zake....tanzania...na anamwaga mpunga wa dola 7billioni..kusaidia kuboresha maisha ya babu na ndugu zake..sio nchi ya ugenini huko misri utumwani alikokimbilia babake.

Ni ukweli ila mchungu..but somebody got to swallow it.
 
Sijswahi kuona ujinga na upumbavu wa Nairobi Walker kwenye post zake za kuwadharau Watanzania, eti hakuna Mtanzania wa kumwajiri kazi Mkenya! wakati Wakenya kibao wamejazana bongo wakifundisha kwenye International Schools za Wwatanzania, sijawai kuona jitu jinga kama hili.


.....iko wazi,sie home mbona tuna beki tatu wa kikenya tena mkikuyu.yupo yupo tu,waluwalu!
 
Kenyans invested heavily on Obama re-election..hana fadhila ..anapaswa "kurudisha mkono" kwa Wakenya
kama ni swala la moral support c kenya tu ni africa nzima ilikuwa nyuma yake.hiyo heavy investiment gan ya wakenya unayouzungumzia kwa obama re election?!.
 
.....iko wazi,sie home mbona tuna beki tatu wa kikenya tena mkikuyu.yupo yupo tu,waluwalu!
hahaha umenikumbusha siku moja pale border ya namanga.dada mmoja choka mbaya wa kikenya ambaye ali exceed siku za kukaa tz alipoulizwa na migration officer,ulikuwa unafanya nini dsm akajibu nilikuwa house maid.ni wa kawaida sana hawa.nawajua kinyume nyume.
 
Governments are not buddies with each other, they exist to further their interests and protect their own citizens. If two countries interests overlap a lot, then great, they can cooperate on many things, if the interest collide in some issues, then the cooperation between the countries reduces or dies all together. Kenya is no exception, the United States government was not impressed by the choice we made on March 4th, forgetting that Kenya is a sovereign state and the elections were free and fair. Though I personally didn't vote for or give support to UhuRuto, I will not support a president that is forced down our throats by another country, even if it means being snubbed by all the presidents in the world.

With thanks
 
Sijswahi kuona ujinga na upumbavu wa Nairobi Walker kwenye post zake za kuwadharau Watanzania, eti hakuna Mtanzania wa kumwajiri kazi Mkenya! wakati Wakenya kibao wamejazana bongo wakifundisha kwenye International Schools za Wwatanzania, sijawai kuona jitu jinga kama hili.
Those international schools are not owned by Tanzanians. Get your facts right.
 
is mama rwakatare who owns a number of so called english medium schools a kenyan.jinga kabisa hii.

Am not sure if the so called Mama rwakatare schools are worth the name international schools but anyway, teachers are expatriates and Kenya has been known to export expatriates to Tanzania (and indeed to the whole of Africa) Maybe Tz just needed our services at this point.
 
Am not sure if the so called Mama rwakatare schools are worth the name international schools but anyway, teachers are expatriates and Kenya has been known to export expatriates to Tanzania (and indeed to the whole of Africa) Maybe Tz just needed our services at this point.
now what does it take for a school to be international.?
 
umeongea ukweli,ila sasaa angalia wasije wakakufanyia kitu mbaya...wakora kishenzi hawa
Ujuwe wakenya wanakawaida ya kuficha ukweli wakati ukweli unakawaida ya kupenda kutembea uchi kama ulivyozaliwa....obama ni mjaluo ambaye baba yake alikulia kenya lakini origin ya babake obama ni shirati iliyoko jimbo la rorya ndani ya mkoa wa mara nchini tanzania...

Sasa obama anapotembelea nchi ambayo ndio chimbuko la baba na babu zake wao wanalialia....hapo kegolo mzee obama aliamia tuu nila kwao kabsaaa ni mara tanzania...au mmesahau wakenya huwa wanasema mlima kilimanjaro upo kwao??...

Wakenya wekeni ukweli wazi muishi kwa amaniii....kweli itawaweka huru kwelikweli...mwacheni obama alete wajukuu kwenye kitovu cha kweli cha asili ya babu wa babu zake....tanzania...na anamwaga mpunga wa dola 7billioni..kusaidia kuboresha maisha ya babu na ndugu zake..sio nchi ya ugenini huko misri utumwani alikokimbilia babake.

Ni ukweli ila mchungu..but somebody got to swallow it.
 
Jealous +envy +greedy=KENYA,
Am not sure if the so called Mama rwakatare schools are worth the name international schools but anyway, teachers are expatriates and Kenya has been known to export expatriates to Tanzania (and indeed to the whole of Africa) Maybe Tz just needed our services at this point.
 
Pinhead.....................I don't have time to explain this to someone.
c'mon man dont use that organ of urs called "ma.sa.bu.ri" to think on answering qstns.behave like a real GT.nenda kwanza kapate lunch then urudi jf.
 
Back
Top Bottom