Wakenya wamemuuliza obama kwa nini hajatembelea kenya

UFUNUO WA TANZANIA

JF-Expert Member
Apr 7, 2013
471
166
Rais Obama amemaliza hotuba yake pale Soweto na ni kipindi cha maswali na majibu Kwa kutumia Teknohama live kutoka Nairobi ameulizwa swali kuhusu uhusiano wa Kenya kisiasa na kiuchumi na nchi za Magharibi na kesi inayowahusu viongozi wa juu wawili wa Nchi hiyo huko ICC na pia kwa nini hajatembelea kenya wakati katika mahojiano na kituo kimoja cha Nairobi aliwahi kusema kuwa angetembelea nchi yao. Obama anaendelea kujibu.

Chanzo: Sky News

Swali toka Nigeria
Ameulizwa kuhusu Ugaidi nchini Nigeria na Msaada wa USA kuutokomeza.
Amejibu kuwa wanatoa mafunzo, vifaa na kuziwezesha serikali ku-deliver kwa wananchi maana ugaidi pia unasababishwa na watu ambao wana frustration ya ugumu wa maisha. Obama anasema kuwa wao wanafikiri win win situation maana kama purchasing power ya wananchi itaongezeka wengi watanunua bidhaa za Marekani kama Ipads na nyinginezo
Source Start TV

Kwa sasa Anachukuwa Swali la Mwisho toka Soweto
Kaulizwa maswali mawili moja kuhusu elimu na matumizi ya Teknohama katika Ufundishaji.

Swali lingine ameulizwa juu ya Foreign policy za USA kuhusu mazingira
NAnajibu kuwa wapo mstari wa mbele katika hilo na wana mipango ya kupunguza GLobal Warming kwa kupunguza emissions ya pollutions.
 
Dah yaani kwa hakika swala hili limewauma sana wakenya!

Kutotembelewa na Obama imekuwa ni issue kubwa sana kwao.
 
Hao Wakenya wajinga sana. Wao wamechagua (kama kweli walichaguliwa kihalali) watuhumiwa wawili wa uhalifu dhidi ya binadamu halafu walikuwa wanategemea rais wa Marekani aende kuwatembelea na kupokelewa na hao mabwana wawili?

Johnny Carson aliwaambia elections have consequences. Kama kutembelewa na Obama lilikuwa jambo la maana na muhimu sana kwao basi walikuwa na choice (kind of) ya kuchagua watu wasiokuwa na tuhuma za uhalifu dhidi yao.

Yaani Miafrika mijinga sijapata kuona.
 
Hao Wakenya wajinga sana. Wao wamechagua (kama kweli walichaguliwa kihalali) watuhumiwa wawili wa uhalifu dhidi ya binadamu halafu walikuwa wanategemea rais wa Marekani aende kuwatembelea na kupokelewa na hao mabwana wawili?

Johnny Carson aliwaambia elections have consequences. Kama kutembelewa na Obama lilikuwa jambo la maana na muhimu sana kwao basi walikuwa na choice (kind of) ya kuchagua watu wasiokuwa na tuhuma za uhalifu dhidi yao.

Yaani Miafrika mijinga sijapata kuona.

WEWE ndio mjinga kupindukia Obama ana manufaa gani kwako ..akija hapa Tanzania utamwona on Tv ..the same way Kenya
 
Amejibu vipi hembu endelea kutujuza

Hivi vituo vya bongo changamoto. Chanel Ten walikuwa wamejunga na sky news lakini naanza kujibu wakakata matangazo hivyo sijapata majibu. Ila nitayaleta kupitia full hotuba yake maana Whitehouse huwa wana-record in written form. Kwa sasa washiriki toka Nchi mablimbali wanamuuliza. Kwa sasa Star TV inaonyesha.
Uganda na Sasa anajibu Maswali toka Nigeria. Mnaweza kufuatilia STar TV.
 
wakenya sio wajinga!!!!!...... hawawezi kusaini mikataba kirejareja kama wanazi wa Tz
 
Back
Top Bottom