PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Wakati watanzania tukiendelea kipigwa butwaa na wakenya wakiendelea na ujenzi wa uwanja mkubwa nawa kisasa wa ndege karibu kabisa na mpaka wetu na huko rombo rongai,sasa wameanza ujenzi wa mji mkubwa na wakisasa kuliko kigamboni utakao itwa konzo city.huku wakituachu watanzania tukìpiga blabla bila vitendo,tembelea wavuti hu ujionee www.konzocity.co.ke