Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
Yamesemwa ndani ya kongamano linalofanyika chuo kikuu cha Dar es salaam..
Mtoa mada mzee abdulatiful abdala kutoka kenya..alisema eti Kenya sasa imefika mbali kuliko Tanzania katika nyanja za lugha ya kiswahili..
Akikanusha hoja hiyo kutoka meza kuu,alisema eti kenya bado hawajatufikia katika kukiendeleza kiswahili bali wao wamejitangaza kuliko sisi..
Amesema kujitangaza kenya ni tabia yao,katoa mfano kenya imewai kujitangaza kwamba mlima kilimanjaro huko kwao wakati si kweli..amesema wao kusema mlima huko kwao haimanishi hauko Tanzania..
Amesema hata kiswahili kinachotumika kwenye internet/mtandao..kimetungwa Tanzania lakini wakenya walipata tenda na kukitumia hicho kiswahili chetu..
{lakini hakutueleza nivipi au ilikuaje wakenya wakapata tenda na kuchukua kiswahili hicho kutoka Tanzania}
naomba mtu mwenye uelewa mzuri wa haya maswala atuleze tuelewe kama wakenye wametuweza kuanzia mlima kilimanjaro hadi lugha ya kiswahili..nawasilisha.
Mtoa mada mzee abdulatiful abdala kutoka kenya..alisema eti Kenya sasa imefika mbali kuliko Tanzania katika nyanja za lugha ya kiswahili..
Akikanusha hoja hiyo kutoka meza kuu,alisema eti kenya bado hawajatufikia katika kukiendeleza kiswahili bali wao wamejitangaza kuliko sisi..
Amesema kujitangaza kenya ni tabia yao,katoa mfano kenya imewai kujitangaza kwamba mlima kilimanjaro huko kwao wakati si kweli..amesema wao kusema mlima huko kwao haimanishi hauko Tanzania..
Amesema hata kiswahili kinachotumika kwenye internet/mtandao..kimetungwa Tanzania lakini wakenya walipata tenda na kukitumia hicho kiswahili chetu..
{lakini hakutueleza nivipi au ilikuaje wakenya wakapata tenda na kuchukua kiswahili hicho kutoka Tanzania}
naomba mtu mwenye uelewa mzuri wa haya maswala atuleze tuelewe kama wakenye wametuweza kuanzia mlima kilimanjaro hadi lugha ya kiswahili..nawasilisha.