fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Bwana na Bibi MtungiHivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.
"NENDA KANIINGILIE"
"VENYE UKIKWENDA"
"SI UKUJE".
Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
kiingereza sio cha kenya au huelewiNa jiwe anawaharibia kiingereza wakenya.......
What goes around.......
Kwa hivyo Kiswahili Ni Cha Tanzania?kiingereza sio cha kenya au huelewi
Bado umesahau lile neno nikikupea utawezanaHivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.
"NENDA KANIINGILIE"
"VENYE UKIKWENDA"
"SI UKUJE".
Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
kumbe ni cha wapKwa hivyo Kiswahili Ni Cha Tanzania?
Relocate to Tanzania nikufundishe kiswahili kizuri Lilyπ€π€
Vituo vya Radio vya Tanzania vinatia kinyaa, ni makosa matupu unaona kero hata kuendelea kusikiliza. Kuna vipindi vyengine ndio vimezidi, watangazaji wake wabovu kwelikweli kwenye kuzungumza kiswahili ilimradi tuu anajuwa kusema basi na yeye ni mtangazaji.
Umesahau neno lingine KUGONJEKA π π eti ndio kuugua au kuumwaHivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.
"NENDA KANIINGILIE"
"VENYE UKIKWENDA"
"SI UKUJE".
Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
Mbona kiswahili ni cha wakenya mkuu?kiingereza sio cha kenya au huelewi
Unzingua kwelikweli Kiswahili fasaha ni bongo na hata asili yake ni bongo piaMbona kiswahili ni cha wakenya mkuu?