Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,163
- 22,739
Umeathirika sana na ukatili ulipokuwa mdogo kiasi unaamini ndo maisha yanavyotakiwa kuwa.Tena ilotakiwa wazuiewe na kupata viboko 12
Umeathirika sana na ukatili ulipokuwa mdogo kiasi unaamini ndo maisha yanavyotakiwa kuwa.Tena ilotakiwa wazuiewe na kupata viboko 12
Wewe utakuwa umeathirika na umbea na udakuUmeathirika sana na ukatili ulipokuwa mdogo kiasi unaamini ndo maisha yanavyotakiwa kuwa.
Tatizo liko wapi sasa?Tukisema CCM ni tatizo kuna wakina tatalila na lucas wanakuja kusema tanzania kuba uhuru wa makalio yao kupulimiwa nyuma
Umeathirika sana na ukatili ulipokua mdogo kiasi unaamini ndo maisha yapo hivyo katika ulimwengu wa watu wastaarabu na waliopata malezi mema watakushangaa sanaWewe utakuwa umeathirika na umbea na udaku
Kosa alilofanya Mbowe ni kulewa madaraka na kudhani kuwa CHADEMA ni yeye.Kwahiyo hamtaki mamlaka zijiridhishe juu ya wanaoingia nchini? Sasa Uhamiaji mtakua mnawalipa mishahara ya kazi gani?
Ccm walikua immigration leo?CCM imeamua kuidhalilisha Nchi yetu, Hatutakubali kibwege
nipeleke EU basiUmeathirika sana na ukatili ulipokua mdogo kiasi unaamini ndo maisha yapo hivyo katika ulimwengu wa watu wastaarabu na waliopata malezi mema watakushangaa sana
nipeleke EU basi
Aukubali kibwege upo nyuma ya key board 😀CCM imeamua kuidhalilisha Nchi yetu, Hatutakubali kibwege
Aisee kuna mambo yanatutia aibu sana sijui tumefikaje huku na sijui tutaendelea mpaka wapi na haya mambo, sio mchezoAngalia CCM walivyo wajinga, Wakati wanamzuia Martha Karua wakidhan ndo Sasa Kesi haitamulikwa kimataifa.
Wanasahau kua kesho Mabalozi na Wawakilishi wa balozi mbali mbali Duniani, watakuwepo, wataona na wataitangazia Dunia vilevile.
Hivi CCM huku hamna mwenye Akili kabisa kabisa???.
Kwani masheikh wa uamsho inawahusu nini?hao watetewe na waislam wenzaoWaache warudi kwao, mbona kesi ya masheikh wa Uamsho hawakuja?
Hii Ndo mada unazopendaCCM imeamua kuidhalilisha Nchi yetu, Hatutakubali kibwege
Kwahiyo mkuu wewe umekaa mbele ya keyboard?Aukubali kibwege upo nyuma ya key board 😀
Hapa nimecheka 😂 kwahy akiwa maarufu sisi tufanyejeKarua alieleza kushangazwa na hatua hiyo, hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ni raia maarufu wa Kenya na mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
KATIKA DIPLOMASIA SAFI, WANGEACHIWA TU. (WAVINJARI)Waziri wa zamani wa Sheria nchini Kenya, Martha Karua, ameeleza masikitiko yake baada ya kuzuiwa kuingia nchini Tanzania akiwa na watetezi wengine wa haki za binadamu na mawakili wenzake, Lynn Ngugi na Gloria Kimani.
Kupitia ujumbe alioweka kwenye mitandao ya kijamii siku ya Jumapili asubuhi, Karua alisema kuwa pasipoti yake ilichukuliwa na kupelekwa kwa msimamizi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, na alizuiliwa kwa zaidi ya saa moja bila maelezo yoyote.
Karua alieleza kushangazwa na hatua hiyo, hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ni raia maarufu wa Kenya na mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
"Nilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa tatu asubuhi, ambapo maafisa wa uhamiaji walikabidhi pasipoti yangu kwa msimamizi. Tangu wakati huo nimekuwa nikisubiri kwa zaidi ya saa moja huku wakishauriana na wakuu wao. Ninasikitishwa na hali hii, kwani kama mwanachama wa EAC, haipaswi kuwepo vizuizi visivyoeleweka kuingia katika nchi mwanachama," alisema.
Karua pia alifafanua kuwa wenzake, Gloria Kimani na Lynn Ngugi, nao wanazuiliwa. Alisema wote walialikwa na Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki, kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria wa Kenya, Faith Odhiambo, pamoja na Chama cha Wanasheria wa Uganda.
View attachment 3337923
Tena ilotakiwa wazuiewe na kupata viboko 12