Mkuu 'macho_mdiliko', siku zote (nyingi) kwa nyakati hizi sikubaliani na CCM kama chama.CCM na Samia wanazidi kuchanganyikiwa. Wanaogopa hata vivuli vyao vyenyewe sasa.
No reasons? Just like that?Ama kweli kuna viziwi:
View attachment 3338392
View attachment 3338393
Kwamba kama mshitakiwa ana hatia, kumbe hofu ya nini?
Safi kabisa, hao Malaya wakafanyie huko huko Nairobi umalaya wao.Waziri wa zamani wa Sheria nchini Kenya, Martha Karua, ameeleza masikitiko yake baada ya kuzuiwa kuingia nchini Tanzania akiwa na watetezi wengine wa haki za binadamu na mawakili wenzake, Lynn Ngugi na Gloria Kimani.
Kupitia ujumbe alioweka kwenye mitandao ya kijamii siku ya Jumapili asubuhi, Karua alisema kuwa pasipoti yake ilichukuliwa na kupelekwa kwa msimamizi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, na alizuiliwa kwa zaidi ya saa moja bila maelezo yoyote.
Karua alieleza kushangazwa na hatua hiyo, hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ni raia maarufu wa Kenya na mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
"Nilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa tatu asubuhi, ambapo maafisa wa uhamiaji walikabidhi pasipoti yangu kwa msimamizi. Tangu wakati huo nimekuwa nikisubiri kwa zaidi ya saa moja huku wakishauriana na wakuu wao. Ninasikitishwa na hali hii, kwani kama mwanachama wa EAC, haipaswi kuwepo vizuizi visivyoeleweka kuingia katika nchi mwanachama," alisema.
Karua pia alifafanua kuwa wenzake, Gloria Kimani na Lynn Ngugi, nao wanazuiliwa. Alisema wote walialikwa na Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki, kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria wa Kenya, Faith Odhiambo, pamoja na Chama cha Wanasheria wa Uganda.
View attachment 3337923
TOKA MAKTABA:
KESI YA UHAINI YAVUTA HAMASA
"KENYA ITAWEKEA TANZANIA VIKWAZO IWAPO LISSU HATAACHIWA HURU!"- MBUNGE CALEB AMISI AKIWASHA
View: https://m.youtube.com/watch?v=WkN0LcH7f0Y
"Kuhofia kifo"? Pengine wachache. Wengi ni maslahi binafsi kuyaweka mbele zaidi kuliko maslahi ya wengi.Shida ni wajinga wanaoongoza nchi na wenye elimu wako kimya sababu ya kuhofia kifo. Wajinga Huwa hawana hoja Ila wanaamini katika silaha
Nikuhakikishie, hiyo ni kazi ya mmoja wa "Genge la askari" analolitegemea kumbakisha madarakani kwa gharama yoyote ile.Tanzani... Inanuka Kila Kona ya Dunia.
Kisa mjinga kapewa rungu
EEEeeeeennHEEEEeeeeee!..Martha Karua amealikwa na chama cha wanasheria kuja kusikiliza kesi dhidi ya Tundu Lissu ambaye ni kiongozi mstaafu wa chama cha wanasheria Tanganyika.
..Shura ya Maimamu na Bakwata walipaswa kuwaalika wenzao wa Kenya kuja kushuhudia kesi ya Sheikh Ponda.
Shauri ya uongozi mbovu wa mazaTaifa linapata AIBU,
Once a great Nation...... Tanzania where are we heading????
TOKA MAKTABA:
KESI YA UHAINI YAVUTA HAMASA
"KENYA ITAWEKEA TANZANIA VIKWAZO IWAPO LISSU HATAACHIWA HURU!"- MBUNGE CALEB AMISI AKIWASHA
View: https://m.youtube.com/watch?v=WkN0LcH7f0Y
Wana nia ovu haswaKitendo cha kumrudisha martha ndo wanazidi kuipaisha kesi
Waziri wa zamani wa Sheria nchini Kenya, Martha Karua, ameeleza masikitiko yake baada ya kuzuiwa kuingia nchini Tanzania akiwa na watetezi wengine wa haki za binadamu na mawakili wenzake, Lynn Ngugi na Gloria Kimani.
Kupitia ujumbe alioweka kwenye mitandao ya kijamii siku ya Jumapili asubuhi, Karua alisema kuwa pasipoti yake ilichukuliwa na kupelekwa kwa msimamizi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, na alizuiliwa kwa zaidi ya saa moja bila maelezo yoyote.
Karua alieleza kushangazwa na hatua hiyo, hasa kwa kuzingatia kuwa yeye ni raia maarufu wa Kenya na mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
"Nilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa tatu asubuhi, ambapo maafisa wa uhamiaji walikabidhi pasipoti yangu kwa msimamizi. Tangu wakati huo nimekuwa nikisubiri kwa zaidi ya saa moja huku wakishauriana na wakuu wao. Ninasikitishwa na hali hii, kwani kama mwanachama wa EAC, haipaswi kuwepo vizuizi visivyoeleweka kuingia katika nchi mwanachama," alisema.
Karua pia alifafanua kuwa wenzake, Gloria Kimani na Lynn Ngugi, nao wanazuiliwa. Alisema wote walialikwa na Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki, kwa kushirikiana na Chama cha Wanasheria wa Kenya, Faith Odhiambo, pamoja na Chama cha Wanasheria wa Uganda.
View attachment 3337923