Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,922
- 4,715
Wewe nani???CCM imeamua kuidhalilisha Nchi yetu, Hatutakubali kibwege
Wewe nani???CCM imeamua kuidhalilisha Nchi yetu, Hatutakubali kibwege
Walishamzuia Miguna Miguna pale Jomo Kenyata hadi kumchania suit.Itakuwa nchini kwao wanasafiri na kuingia bila utaratibu wa nchi zao
WamesubirishwaSijaelewa.
Wamezuiwa au walisubirishwa?
Wamezuiwa kuingia nchini au walisubirishwa! Toa ufafanunuzi kisha tutoe maoni.
Punguza hisia.Itakuwa nchini kwao wanasafiri na kuingia bila utaratibu wa nchi zao
Wazee wa kuamsha taharukiSijaelewa.
Wamezuiwa au walisubirishwa?
Wamezuiwa kuingia nchini au walisubirishwa! Toa ufafanunuzi kisha tutoe maoni.
Kwakweli wamechanganyikiwa.CCM na Samia wanazidi kuchanganyikiwa. Wanaogopa hata vivuli vyao vyenyewe sasa.
Ndio mana tunahitaji elimu sana.Itakuwa nchini kwao wanasafiri na kuingia bila utaratibu wa nchi zao
.”“The Partner States hereby guarantee the free movement of persons who are citizens of the other Partner States within their territories
.”“Partner States shall ensure non-discrimination of workers from other Partner States
Wewe umetahayari? Kuna maneno Huwa mnayatumia hata maana yake hamuijui na hata uhalisia wake katika maisha haupo. Ujinga ni mwingiWazee wa kuamsha taharuki
Kwahiyo hamtaki mamlaka zijiridhishe juu ya wanaoingia nchini? Sasa Uhamiaji mtakua mnawalipa mishahara ya kazi gani?CCM na Samia wanazidi kuchanganyikiwa. Wanaogopa hata vivuli vyao vyenyewe sasa.
Martha kazuiliwa kuingia nchini au alisubirishwa?Wewe umetahayari? Kuna maneno Huwa mnayatumia hata maana yake hamuijui na hata uhalisia wake katika maisha haupo. Ujinga ni mwingi
Mbona kesi za sheikh ponda hawakuja?Ndio mana tunahitaji elimu sana. Kwa bahati mbaya wajinga kama wewe ni wengi na ni miongoni mwa askari wetu na viongozi tulionao.
Kasome kwamba mojawapo ya malengo ya uanzishwaji wa jumuiya za kikanda ikiwemo EAC au East African Community ni
Free movement of people and goods across the region,. Sasa kama haya mambo shuleni ulikariri tu Kwa ajili ya kujibia mtihani na ukaja kusimamiwa na darasa la Saba au form four wa uvccm ambaye AMEAMUA kuingiza siasa kwenye professionalism na ambaye hajui mikataba na makubaliano ya mikataifa na kikanda ambayo Tanzania ni signatory lazima utajibu hivi au utafanya kama walivyofanya!
Nchi inateketea kabisaWatu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
CCM inaongozwa na watu wajinga snAngalia CCM walivyo wajinga, Wakati wanamzuia Martha Karua wakidhan ndo Sasa Kesi haitamulikwa kimataifa.
Wanasahau kua kesho Mabalozi na Wawakilishi wa balozi mbali mbali Duniani, watakuwepo, wataona na wataitangazia Dunia vilevile.
Hivi CCM huku hamna mwenye Akili kabisa kabisa???.