neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,862
- 2,156
.. While other thing remain constant!
Nafikiri mkeo anaweza fanya hivyo kwa sababu ya ujauzito.. Yani anakasirishwa na ishu ndogo ndogo.
Pili inaweza kuwa ni hulka yake kufoka foka ovyo.
Tatu huenda dada nae anamapungufu yake,, na yumkini mama anayajua zaidi coz anakuwa nae mda mwingi.
Mwisho kabisa.. Nashauri utatue hyo ishu mdogo mdogo usije kuuziwa kesi lol.. Ukizingatia wife yuko ktk status hyo mmmmm..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nafikiri mkeo anaweza fanya hivyo kwa sababu ya ujauzito.. Yani anakasirishwa na ishu ndogo ndogo.
Pili inaweza kuwa ni hulka yake kufoka foka ovyo.
Tatu huenda dada nae anamapungufu yake,, na yumkini mama anayajua zaidi coz anakuwa nae mda mwingi.
Mwisho kabisa.. Nashauri utatue hyo ishu mdogo mdogo usije kuuziwa kesi lol.. Ukizingatia wife yuko ktk status hyo mmmmm..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums