julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Ubakaji ni tendo la kumlazimisha mtu yeyote yule (mwanamke au mwanaume) /(mke wako au mme wako) kufanya tendo la ndoa pasipo idhini/hiari yake mwenyewe!
Tatizo hili linawakumba wake za watu zaidi kuliko kundi lingine zaidi! Nasema hivyo kwa kuwa yeye linaweza kumpata ndani ya ndoa au nje ya ndoa! akifanyiwa ndani ya ndoa huheshimu ndoa kwa kuto kutoa siri za ndani nje pia akifanyiwa nje ya ndoa wengi huogopa kusema moja huhofia kuipoteza ndoa maana bwana akisikia umebakwa wengine lawama zote hushusha kwa wake zao na pengine kuwaacha hivyo huwafanya wafiche iwe siri yake! pili huogopa kuaibika katika jamii kuwa alibakwa nayo huwa siri yao.
Hii ni tofauti na makundi mengine ya wanawake mfano msichana wa kazi, wadada wa kitaa na mabidada zetu wao kikubwa huogopa aibu lakini hata akisema baada ya kesi kuisha mambo huwa shwari kama ni jamii si anahama tu eneo!
Sasa ni wakati mwafaka jamii tulitambue hili ili kulinusuru hili kundi la msingi katika jamii wewe fuatilia kesi za kubakwa kusikia mke wa mtu kabakwa ni mara chache sana ukilinganisha na watu wengine! Tena mara nyingi watu hutegewa tu linachezwa dili kati ya mke na mme kama kuna mtu anamtongoza tongoza mtaani akiwa hamtaki akimwambia mme wanaona hapa kuna za kuvuta namanisha mkwanja! Sio kweli hawabakwi wanaogopa kuvunja ndoa!
Haya wanajanvi tiririkeni kuwashauri hawa baba na mama zetu walioko kwenye ndoa nini wafanye kupunguza kama si kuondoa ukatiri huo!
Tatizo hili linawakumba wake za watu zaidi kuliko kundi lingine zaidi! Nasema hivyo kwa kuwa yeye linaweza kumpata ndani ya ndoa au nje ya ndoa! akifanyiwa ndani ya ndoa huheshimu ndoa kwa kuto kutoa siri za ndani nje pia akifanyiwa nje ya ndoa wengi huogopa kusema moja huhofia kuipoteza ndoa maana bwana akisikia umebakwa wengine lawama zote hushusha kwa wake zao na pengine kuwaacha hivyo huwafanya wafiche iwe siri yake! pili huogopa kuaibika katika jamii kuwa alibakwa nayo huwa siri yao.
Hii ni tofauti na makundi mengine ya wanawake mfano msichana wa kazi, wadada wa kitaa na mabidada zetu wao kikubwa huogopa aibu lakini hata akisema baada ya kesi kuisha mambo huwa shwari kama ni jamii si anahama tu eneo!
Sasa ni wakati mwafaka jamii tulitambue hili ili kulinusuru hili kundi la msingi katika jamii wewe fuatilia kesi za kubakwa kusikia mke wa mtu kabakwa ni mara chache sana ukilinganisha na watu wengine! Tena mara nyingi watu hutegewa tu linachezwa dili kati ya mke na mme kama kuna mtu anamtongoza tongoza mtaani akiwa hamtaki akimwambia mme wanaona hapa kuna za kuvuta namanisha mkwanja! Sio kweli hawabakwi wanaogopa kuvunja ndoa!
Haya wanajanvi tiririkeni kuwashauri hawa baba na mama zetu walioko kwenye ndoa nini wafanye kupunguza kama si kuondoa ukatiri huo!