Wake za watu wanaobakwa

Wake za watu wanaobakwa

mume hatakiwi kulazimiasha tendo la ndoa sbb mmeoana, lazima kuwe na ridhaa ya wote wawili. kama haupo kwenye mood, inabidi amtafute huyo mood amlete ulingoni. kuna wanaume wengine wanadandia tu wake zao wkt wa hilo tendo bila kujali hisia na utayari wa wanawake, huko nako ni kubaka.

ila definition ya kubakwa inategemea na mtendwa pia, na mazingira/ culture ya sehemu yenyewe. so serikali inaweza kusema kubaka ni kumuingilia mwanamke kinguvu wakati kuna wanawake wanaopenda wanaume wanaowa-force (hawataki kubembelezwa); kuna wanawake wanaamini mwanaume hanyimwi yaani kila anapohitaji lazima apewe hata kama ni mara 7 kwa siku; kuna watu walibakwa wakasikia raha na sio maumivu; kuna wa2 wanawatafuta wabakaji wao mpaka leo ili wawabake tena kutokana na raha walizopata siku hiyo.
Yeah kuna kaukweli humu!
 
Kwa haki za kibinaadamu ukimlazimisha mtu mwengine kuingiliana kimwili na wewe bila idhini yake ni ubakaji aidha iwe kwenye ndoa au nje ya ndoa!!Ila dini inasema vingine...Inasema uwe tayari kumridhisha mwenzio wakati wowote kwasababu dhumuni la ndoa ni hilo tendo lenyewe na kuzaliana ili tuongeze umati wa allah(S.W)

umenena ukweli mtupu! japokuwa kesi za ubakaji watu hawangalii imani maana kuna imani mtu anakwambia ukipigwa kofi shavu la kulia geuza na la kushoto wapige!!!!
 
Labda zamani, siku hizi kweli...mbona wote ni wasongo?..wanawake ndio kwanza wanatutamani hata kabla hatujajua kama natafutwa...kwenye ndoa kuna kukataa?kwa nini agome wakati hawanyimangi huko...no no no..akigoma basi atakuwa amegongwa na mijamaa huko mtaani. Kisheria mwanamme huwa habakwi..hiyo ni sheria inavosema, vinginevyo tusizenguane hapa
 
Umeshinda japo najua naweza sema maneno hapa kila ukiona uzi wangu au comment yeyote unakumbuka ntakacho kwambia! ila bahati yako leo sitaki kuharibu siku yangu!!

mmmmmmh jamani ukishindwa kujenga hoja ndo unakuwa mkali? calm down hapa ni sehemu ya mjadala kama wewe ulivyouleta
 
Heeh ! Kumbe kuna kubakana kwenye ndoa?? Lahaulaa!! Haya ngoja wahanga waje loh!!
kule tumeambiwa faida 4 za ndoa, hapa tunapata hasara moja ya ndoa; ndoa nayo kazi kwelikweli
 
Kwa mujibu wa kifungu cha 130 (2) cha Sheria ya Kanuni Za Adhabu Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania, nanukuu, "Mtu wa jinsia ya kiume atakuwa ametenda kosa la kubaka kama atakuwa amefanya tendo la ndoa na msichana au mwanamke chini ya mazingira ambayo yanadondokea kwenye maelezo yafutayo:
(a) ambaye si mke wake, au awe mke wake ambaye ametengana nae bila ridhaa yake wakati wa tendo la ndoa;
(b) kwa ridhaa yake, pale ambapo ridhaa yake imepatikana kwa kutumia nguvu, vitisho, au kwa kumuogopesha au kumtishia kumuua au kumuumiza au akiwa amezuiliwa isivyo halali;
(c) kwa ridhaa yake pale ambapo ridhaa yake imepatikana wakati ambao alikutwa hana akili timamu au akiwa amelewa kwa kushawishiwa na madawa ya kulevya, kitu au vitu ambavyo amepewa na mtu au watu wengine isipokuwa ikithibitika kuwa kulikuwa na ridhaa mwanzoni kati yao wawili;
(d) kwa ridhaa yake pale ambapo mwanamume alijua kuwa yeye si mume wake, na kuwa ridhaa ilitolewa kwa sababu alifanywa kuamini kuwa yeye ni mwanamume mwingine, ambaye yeye mwenyewe, anaamini kuwa ameolewa nae kihalali;
(e) kwa ridhaa au bila ya ridhaa akiwa chini ya umri wa miaka kumi na nane, isipokuwa kama mwanamke ni mke wake ambaye ana umri wa miaka kumi na tano au zaidi na hajatengana na mumewe."
 
Hapo kwenye red umenipaka mafuta? ulitaka nikujibuje hapo sasa! Busara na ungwana wako uko wapi hapo sasa?

kamusi ya tuki inasemaje kuhusu maana ya umbea? ni kutoa taarifa kwa watu ambazo zaweza kuwa za kweli au si za kweli ila pasipo kutumwa, na dhana ya research nadhani husaidia kupata taarifa sahihi, au wewe unasemaje kuhusu umuhimu wa kufanya research?
 
sasa kesi ya namna hii kama ni mumeo kuna kifungu cha sheria cha kuwabana watu kama hao??.

Kwa mujibu wa kifungu cha 130 cha sheria ya Kanuni ya Adhabu [The Penal Code], mme anaweza tu kuhesabika kambaka mke wake pale wanapokuwa kwenye legal separation.

ila nje ya hapo mme hawezi kumbaka mke wake, 'NO MARITAL RAPE IN TANZANIA.'

HIVYO BASI,kwa wanaume mlio kwenye ndoa jisikieni huru kupata haki yenu ya ndoa 'CONJUGAL RIGHT' muda wowote na kwa namna yoyote ile,
kwani sheria za nchi, Koran Tukufu na Biblia vinawalinda.
 
  • WAKIpitisha kifungu cha sheria chenye kuhusisha kubakana ndani ya ndoa sioi tenaa...
  • maana maandiko yanasema tuishi na wake zetu kwa akili..so timing ni muhimu sana...
  • :disapointed:
 
Back
Top Bottom