MAGUFULI NA LOWASA:
Magufuli aliwambia wanainchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Rejina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio rais wa Tanzania.
Wewe muulize mke wake akupe siri jamaa anayomfanyia ndani alafu ndo uje utage hapa.
MAGUFULI NA LOWASA:
Magufuli aliwambia wanainchi kuwa hatafuti uzee wa kimila wala uchief wa kabila lake hivo haoni umuhimu wa kuambatana na familia kuomba kuongoza watanzania.
Ikumbukwe kuwa mke wa Magufuli ni mwajiriwa Serikalini hivyo hawezi kuacha kwenda kufundisha watoto wa maskini na kupingana na kauli ya mme wake.Huo ndio mgawanyo wa majukumu.
Acheni Rejina azunguke kwa sababu anatafuta urais wa mme wake na sio rais wa Tanzania.
Magufuli mke wake kamuacha nyumbani,nyege zikimpanda anaanza kupiga push ups jukwaani.Halafu wale wanaokata viuno majukwaani wapo salama kweli? Namfananisha Magu na mwanaume asiyependa kuambatana na mkewe kwenye mitoko kisa kuna small house
Unafikiriia matope, urais sio wa familia kila mtu anamajukumu yake kwa jamii
Na mtachonga sana mwaka huu hata awe Freemason hata awe jini hata awe mchawi kura zetu anazo lazima zimtoshe kaeni na hilo dalali lenu#vivaLowassa.
Lowasa ANAITAJI msaada maana hata kwenye mkutano wa wakina mama wa chadema dar alusahau jina make wake,ni hatari kwa taifa hili kuwa na rais ambaye kumbukumbu zake zimeoza kwa masindano ya ganzi,
Na Mimi nakupa pole akipewa nchi fisadi mwaka huu unikate kichwa,hiyo ichukue kuanzia Leo,na tutafutane kuanzia 28oct,
Magufuli hazunguki na mkewe kwa kuwa ana wake wengi