Ni kumziaki mungu shetani kumfananisha na malaika saga na magufuli kulinganisha na lowasa,kwanini,
Lowasa amefanya mambo mengi ya ki shetani ktk taifa hili,
1,fisadi LA tangu enzi za baba wa taifa bila bigwa LA kuiba,.
2,kuwapa watu sumu wapinzani wake wa kisiasa kama mwakyembe,
3,kuwahujumu wapinzani wake mfano 2010 olesendeka,
4,udini,
5,visasi,he akiwa na Dora,
6,vipandikizi kwenye vyombo vya Dora,
7,uwezo wake wa akili ni dhaifu,
Hivi duniani kuna nchi unaweza kumpa MTU kuwa rais akiwa na uchafu wote hii?
Watu wamelogwa au miujiza ya gwajima na ufreemason ndo unawachanganya watu akili,
Lowasa amefanya mambo mengi ya ki shetani ktk taifa hili,
1,fisadi LA tangu enzi za baba wa taifa bila bigwa LA kuiba,.
2,kuwapa watu sumu wapinzani wake wa kisiasa kama mwakyembe,
3,kuwahujumu wapinzani wake mfano 2010 olesendeka,
4,udini,
5,visasi,he akiwa na Dora,
6,vipandikizi kwenye vyombo vya Dora,
7,uwezo wake wa akili ni dhaifu,
Hivi duniani kuna nchi unaweza kumpa MTU kuwa rais akiwa na uchafu wote hii?
Watu wamelogwa au miujiza ya gwajima na ufreemason ndo unawachanganya watu akili,