Wake wenza, nyumba moja kitanda kimoja

Ndio hivyo, wameshazoe hivyo na wale wanawake wanaishi kwa kupendana sana, wanapika na kula chungu kimoja. Hakuna kurogwa cha maana unatimiziwa mahitaji yako na unaishi kwa amani
Hongera yao,
Lakini kwa akili yakawaida si zani kuna something hapo kati sio bure
 
Hahahaaa. Sasa kama hela ya chumba tu hana ukiwaza kwa sauti mahitaji mengine ya kibinadamu sidhani kama anaweza kuyatimiza.
May wake zake ndo wameamua waishi pamoja mana kuna watu mioyo ya uvumilivu kama ya punda
 
Dahhh huu uzi unanikumbusha nilipokua chuo, nilikuwa na kamchezo nafanya threesome sex, yaani mimi na wadada wawili, tulifanya kuanzia mwaka wa kwanza semister ya pili hadi tunamaliza mwaka wa 3, kiukweli natamani enzi zijirudie..
 
Kuna mwalim anafundisha makarema secondary... pale Rombo (MKUU) naye Ana wake wawili na wanalala chumba kimoja na wanaishi kwa amani
 
Itakuwa kawafunga kimazingara,, SABABU hata dini hairuhusu MWANAUME kuoa mke wa pili kama huna pa kumuweka,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…