Hongera yao,Ndio hivyo, wameshazoe hivyo na wale wanawake wanaishi kwa kupendana sana, wanapika na kula chungu kimoja. Hakuna kurogwa cha maana unatimiziwa mahitaji yako na unaishi kwa amani
Hahahaaa. Sasa kama hela ya chumba tu hana ukiwaza kwa sauti mahitaji mengine ya kibinadamu sidhani kama anaweza kuyatimiza.Hali ngumu,hana pesa ya kukodi nyumba nzima
May wake zake ndo wameamua waishi pamoja mana kuna watu mioyo ya uvumilivu kama ya pundaHahahaaa. Sasa kama hela ya chumba tu hana ukiwaza kwa sauti mahitaji mengine ya kibinadamu sidhani kama anaweza kuyatimiza.
Naunga mkono hoja[emoji109]Nikija kuwa mkubwa nataka niwe kama huyo jamaa
Na hawa wanamzidi hata huyo Punda aiseee.May wake zake ndo wameamua waishi pamoja mana kuna watu mioyo ya uvumilivu kama ya punda
Wewe vipi,huwez ? Kila mtu na nyumba yake lakinNa hawa wanamzidi hata huyo Punda aiseee.
Mieeee. Hapana aiseeee.Wewe vipi,huwez ? Kila mtu na nyumba yake lakin
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] khattarMieeee. Hapana aiseeee.
Niwe tu mkweli. [emoji85]
Dahhh huu uzi unanikumbusha nilipokua chuo, nilikuwa na kamchezo nafanya threesome sex, yaani mimi na wadada wawili, tulifanya kuanzia mwaka wa kwanza semister ya pili hadi tunamaliza mwaka wa 3, kiukweli natamani enzi zijirudie..Nilipoenda Tabora kumtembelea mdogo wangu, nilistaajabu kushuhudia ninayoyasimulia leo.
Bwana mdogo kaanza karibuni maisha ya kujitegemea, kapanga chumba kimoja na sebule maeneo ya chemuchemu.
Pale pia kuna jamaa mmoja mpangaji mwenziye kapanga chumba na sebule lakini akiishi na wanawake wawili mitala kwa kutumia chumba kimoja.
Wake zake hao wanaishi kwa upendo mkubwa huku wakiitana dada. Kazi na hadi kula wanakula pamoja!
Ndugu zangu wataalamu wa saikolojia, jambo hili sijawahi kuliona popote Tz.
Maana kama ni ukewenza, ni lazima mwanaume awajengee nyumba zao tofauti, ama kama ni kupanga atawapangia nyumba tifauti.
Ni maarifa gani yanayosaidia mwanamme kuwamudu, kuweza kuishi nao kwa ukitumia chumba kimoja na wanawake wakaelewana kama kulwa na doto, kiasi cha kuwa ni mfano wa kuigwa?
Eeeehh kiboko kweli ww kumbe unaangaliaga p**n halaf u r a woman [emoji28]Kwa mapenzi hayo itakua 3some inahusika