Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mimi nashauri apendekezwe boss wa muhongo ambaye Harbinder Singh Sethi angombee kwa ticket ya ccm
Hata vichaa wana confidence za kutosha; haikosi hata rais kichaa atatufaa, at least hatakuwa na akili ya kufikiria kutufilisi kwa marumbesa na sandarusiNchi yetu ilipofika inahitaji raisi jasiri, mwenye msimamo, asiye yumbishwa na wana siasa, wafadhili na wafanya biashara kwenye mambo yenye maslahi mapana kwa taifa.
Pia tunahitaji raisi mwenye uwezo binafsi wa kuchambua na kufanya maamuzi based on logical thinking. MTU ambaye atakaye jiamini na mwenye kua tiari kushindanisha mawazo tofauti kisayansi/kisomi na kamwe si kisiasa.
Pia awe MTU mwenye udikteta kiasi angalau kias cha Ben mkapa.
Mpaka sasa Prof Muhongo amedhihirisha kua na sifa hizi kwa kias kikubwa.I know this may seem to be an awkward opinion, but this is a hard truth.
Nashauli vyombo vyetu vya kiusalama vichukue ushauli huu kwani naamini the first and last vetting of a coming president is done by them(TISS).
Nawakilisha
Maoni yako naweza kudiriki kuyaita ni ya 'kipuuzi' kabisa.Nchi yetu ilipofika inahitaji raisi jasiri, mwenye msimamo, asiye yumbishwa na wana siasa, wafadhili na wafanya biashara kwenye mambo yenye maslahi mapana kwa taifa.
Pia tunahitaji raisi mwenye uwezo binafsi wa kuchambua na kufanya maamuzi based on logical thinking. MTU ambaye atakaye jiamini na mwenye kua tiari kushindanisha mawazo tofauti kisayansi/kisomi na kamwe si kisiasa.
Pia awe MTU mwenye udikteta kiasi angalau kias cha Ben mkapa.
Mpaka sasa Prof Muhongo amedhihirisha kua na sifa hizi kwa kias kikubwa.I know this may seem to be an awkward opinion, but this is a hard truth.
Nashauli vyombo vyetu vya kiusalama vichukue ushauli huu kwani naamini the first and last vetting of a coming president is done by them(TISS).
Nawakilisha
Mimi nashauri apendekezwe boss wa muhongo ambaye Harbinder Singh Sethi angombee kwa ticket ya ccm
Haijakosea, urais unapatikana kwa vetting na sio kwa voting!.Maoni yako naweza kudiriki kuyaita ni ya 'kipuuzi' kabisa.
Unawezaje kusema kuwa TISS ndiyo the first and last, kufanya vetting ya the next President of the year 2015(hapo bila shaka ukimaanisha miongoni ya wagombea wa CCM wanaotaka kupeperusha bendera ya chama chao)
Kwa mazingira hayo tutawezaje kujiita tuko kwenye mfumo wa multipartism, iwapo chombo nyeti, kama usalama wa Taifa, kinawafanyia vetting wagombea urais wa CCM pekee?!
Hivi tunavyokuwa wananchi tumeamua kulibadilisha jina chombo hicho toka Usalama wa Taifa na kuwa Usalama wa watawala wa CCM, tutakuwa tumekosea kweli?
Nchi yetu ilipofika inahitaji raisi jasiri, mwenye msimamo, asiye yumbishwa na wana siasa, wafadhili na wafanya biashara kwenye mambo yenye maslahi mapana kwa taifa.
Pia tunahitaji raisi mwenye uwezo binafsi wa kuchambua na kufanya maamuzi based on logical thinking. MTU ambaye atakaye jiamini na mwenye kua tiari kushindanisha mawazo tofauti kisayansi/kisomi na kamwe si kisiasa.
Pia awe MTU mwenye udikteta kiasi angalau kias cha Ben mkapa.
Mpaka sasa Prof Muhongo amedhihirisha kua na sifa hizi kwa kias kikubwa.I know this may seem to be an awkward opinion, but this is a hard truth.
Nashauli vyombo vyetu vya kiusalama vichukue ushauli huu kwani naamini the first and last vetting of a coming president is done by them(TISS).
Nawakilisha
Nchi yetu ilipofika inahitaji raisi jasiri, mwenye msimamo, asiye yumbishwa na wana siasa, wafadhili na wafanya biashara kwenye mambo yenye maslahi mapana kwa taifa.
Pia tunahitaji raisi mwenye uwezo binafsi wa kuchambua na kufanya maamuzi based on logical thinking. MTU ambaye atakaye jiamini na mwenye kua tiari kushindanisha mawazo tofauti kisayansi/kisomi na kamwe si kisiasa.
Pia awe MTU mwenye udikteta kiasi angalau kias cha Ben mkapa.
Mpaka sasa Prof Muhongo amedhihirisha kua na sifa hizi kwa kias kikubwa.I know this may seem to be an awkward opinion, but this is a hard truth.
Nashauli vyombo vyetu vya kiusalama vichukue ushauli huu kwani naamini the first and last vetting of a coming president is done by them(TISS).
Nawakilisha