Mkendo kati ni sehemu ndogo sana ya Musoma mjini.
Hata hivyo ikumbukwe kuwa mzee wake hayati Mutaragara Chirangi alikuwa mtu maarufu sana pale Musoma; akitumia jina la Chirangi anaweza kupeta, ingawa atakuwa anapambana na jina la Nyerere.
Mkendo kati ni sehemu ndogo sana ya Musoma mjini.
Hata hivyo ikumbukwe kuwa mzee wake hayati Mutaragara Chirangi alikuwa mtu maarufu sana pale Musoma; akitumia jina la Chirangi anaweza kupeta, ingawa atakuwa anapambana na jina la Nyerere.
Wanabodi..
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.
Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.
Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.
Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini..
Ni haki yake kikatiba. Kama anataka kupima kama simba ana meno kwa kuweka mkono kwenye mdomo wake, ajaribu.Akiwa anaongea na baadhi ya wageni katika msafara wa obama na wafanyabiashara wachache wa kitanzaniakatika viwanja vya Ikulu, Waziri Muhongo amesema baada ya rais kikwete, kutakuwepo na vacuum wa uongozi nchini. baada ya kuleta mabadiliko makubwa katika sekta ya umeme iliyochangia rais obama kuja tanzania, anaonelea agombea urais kwa sababu wanaotarajia kugomea kwa sasa ni mafisadi....
Alaf hyo wizara kaiweza saa ngapi.....au analeta mauzauza ya mchana hapa!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums