Wakazi wa Musoma Mjini wamuomba Prof Sospeter Muhongo kugombea ubunge

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,909
32,335
attachment.php

Wanabodi..

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.

Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.

Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.

Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini..

attachment.php
 

Attachments

  • muho.jpg
    muho.jpg
    20.5 KB · Views: 752
Wanabodi.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.

Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.

Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.

Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.


Msiwe na tegemeo kuwa ataendelea kupata uwaziri baada ya kuwa mbunge wenu nyie wakurya; mfahamu kuwa baada ya katiba mpya kuanza kutumika baada ya uchaguzi wa 2015 ,mawaziri hawatatokana na wabunge tena!!! Huyu Muhongo ameweza kufanya anayofanya kwasababu hana bugudha za jimbo la uchaguzi!!!
 
Wewe ni msemaji wa hao wakazi?? Hii habari imekaa kimajungu majungu sana.
 
Wanabodi.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.

Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.

Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.

Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.

Gamba liko kazini zaidi hahahaha kafanya nini mpaka sasa sijaona zaidi ya kelele nyingi tu bila vitendo aaghhkk unanitia kichefuchefu kwani b4 awe waziri walikuwa hawamfahamu kama ni msomi thus why am saying The Gamba on duty
 
Wanabodi.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.

Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.

Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.

Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.
Asije akawa kama yule Professor wa CUF ambaye amegombea kwa vipindi vinne huku kura zikipungua kila mwaka. akigombea tena 2015 inabidi alipwe pension yake ya kugombea
 
Wanabodi.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.

Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.

Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.

Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.
kwani jamaa ni mura?sidhan kama ni rahis hivo
 
Wanabodi.

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo ambaye ni kada wa chama cha mapinduzi CCM ameombwa na wakazi Musoma Mjini kugombea ubunge jimboni humo mwaka 2015.

Profesa Sospeter Muhongo, ni msomi na mzaliwa wa Musoma Mjini wakazi wa mkoa Mara wanasema wakati umefika wa kumpa ubunge Profesa Muhongo, kutokana na elimu yake pamoja na uzoefu wake ili hawatumikie wananchi wa Mkoa wa Mara.

Jimbo la Musoma Mjini kwa sasa linaongozwa na chama cha Chadema kupitia mbunge wake Vicent Nyerere.

Wakazi wengi wa Musoma Mjini wanaoneka kumkubali zaidi Prof Muhongo, kutoka utendaji wake wake katika Wizara ya Nishati na Madini.
musoma ipi unayoiongelea mkuu?? hii ninayoishi mimi au ya nyuma ya KEYBOARD??
 
mkuu mbona hiyo ni mpya umeipata wapi wewe what is ur source of info mkuu au ni kama wale wazee waliomuomba msamaha pinda kwa kuzomewa........wakidai that vijana hawana maadili...........wakasahau nao wazee hawana maadili............
 
Usimdanganye hawezi shinda atapoteza muda wake bure. Mimi ni mzaliwa wa hapo mjini nimesoma hapo kuanzia elimu ya msingi mpaka kidato cha 6 na ktk uchaguzi uliopita nilikuwa hapo hasipoteze muda kugombea kupitia CCM.
 
Mhe. Profesa Sospeter Muhongo, ni mzaliwa wa Musoma Mjini. Ana haki ya kugombea.

kwani uzaliwa haki ya kugombea wewe huoni kuwa ni vitu viwili tofauti..wote tunajua kuwa ana haki ya kugombea..unafikiri yeye hana akili timamu hadi ajazwe ujinga na wazee wachache wenye njaa na matumbo yao ambao wanajua akishapata watakula naye? ..let see ila lazima ataumbuka akijaribu wewe huijui usoma wewe
 
Back
Top Bottom