Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Nimeskia wakazi wa Mbeya vijijini wameandamana hadi Mbeya mjini kudai kuwa Mgombea ubunge wa CCM ambaye ametangazwa kuwa ni mshindi Hajashinda kihalali na FFU wanawatawanya kwa mabomu ya machozi.
Ikumbukwe: Vurugu za jana za mbeya ziliwahusu wananchi wa Mbeya mjini hizi za leo zinawahusu wa Mbeya vijijini ambao wameandamana hadi mbeya mjini.
Wadau mliopo Mbeya please, taarifa zaidi.
Ikumbukwe: Vurugu za jana za mbeya ziliwahusu wananchi wa Mbeya mjini hizi za leo zinawahusu wa Mbeya vijijini ambao wameandamana hadi mbeya mjini.
Wadau mliopo Mbeya please, taarifa zaidi.