Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Kigwangwala alikuwa hataki hata nyoka auwawe.
Hawa askari wanyama pori wanafundiswa kuua moja kwa moja hawqna mbinu nyingine?
mkuu nyati ashaingia mtaani taharuki imetanda na ni makazi ya waru kama unajua madale ni maeneo ya flamingo iyo sindano mpaka ije si angeleta balaaHuwa wanapigwa sindano za kuwatuliza (trangulizers) na ujeuri wote unakata, kwani wanatibiwa vipi?
Inakuwaje Anti- robbery unit itumike? Mali asili walikuwa wapi? Huyo mnyama si jambazi na hakupaswa kupigwa risasi. Ni utaalamu wa Mali asili ungetumika na kumrudisha anakostahili. Hili ni doa jingine kubwa. Tunasomesha wataalamu wasiotumika wanapohitajika.
Kama waliweza kuita kikosi cha Anti robbery squad, kuwaita hao ingekuwa na shida gani?mkuu nyati ashaingia mtaani taharuki imetanda na ni makazi ya waru kama unajua madale ni maeneo ya flamingo iyo sindano mpaka ije si angeleta balaa
Hayo mapori ndio mazuli Mzee ni katalogi hiyoDSm bado kuna watu wanafuga mapori makubwa kama mbuga za wanyama, niwakati sasa kampeni ya kuondoa mapori dsm.
Mkuu una ajenda gan? kwan hujui kule ndo makaz ya kudumu ya myuzishan nguli daimond platnamz kiongoz mkuu wa wasafi classicSwali langu ni kwa nini wamemuua Hugo nyati?
Kigwangwala alikuwa hataki hata nyoka auwawe.
Hawa askari wanyama pori wanafundiswa kuua moja kwa moja hawqna mbinu nyingine?
Pole sana I feel your pain...Kumuua yule nyati kumeniuma sana.....ni jike......automatically alipotea kutoka kwenye kundi.....alikuwa bado binti......
Kwa nini wasimswage akarudi porini.....?.....
Angekuwa wale mabazazi wanaofukuzwa kundini sawa......huyo alichanganyikiwa.......ki ukweli kaniuma.....
Jamaa wamepoteza resource kubwa sana na hawajui!! hata mawasiliano ya haraka ya mamlaka husika hawana!!?ie anti robbery squad na idara ya wanyama pori?Huu ni udhaifu wa kiwango cha hai ya juu kumpiga mnyama risasi badala ya kutumia zile sindano za usingizi na kumrudisha huko alikotoka .kinatumika kikosi cha ant- robery huo ni ushenzi na uharbifu wa mali asili.ina maana kila mnyama atakae kua akitoroka ni kupigwa risasi.shame shame
Kweli hata mimi sijakubali kama yule alikuwa ni chui,alikuwa kicheche au paka pori.alitokea kicheche watu wakasema ni tiger
wakataka kuhama mkoa kabisa.
Upo sahihi kabisa mkuu,na Mara watu wanapozua taharuki, kelele huwa zinamvuruga mnyama pori maana mazingira hayo Ni mageni kwakewewe mtaalam wa mtandaoni, nyati katinga kwenye makazi ya watu na ameshasababisha hasara na madhara kadhaa kwa mifugo, askari wa wanayamapori wana kambi gani dsm hapa!!!! si wanaishi porini kwenye wanyama huko??
igetokea ameua mtu, ungekuwa wakwanza kuuliza polisi wanaowahi mikutano ya tundu lissu walikuwa wapi mpaka anaua watu!!!!
Pale wanapakana na mapori yanayokutana na yale ya Bagamoyo ya Mbuga/Hifadhi ya Wanyama ya Saadan.Inatisha inawezekana mambo ya numba na ngaye za uchaguzi,huyo nyati sijui ametoka pori gani la akiba bila kuonekana,pori la karibu ni saadani ,sasa kutoka saadani hadi madale ina maana hapa kati kati hakuna aliyemuona? Na mara nyingi nyati hutembea kwa makundi possible bado kuna nyati wengine ukanda wa Madale.
Mkuu kunywa maji kubwa moja hapo kwa mangi nitalipa..sasa wakazi wanaoishi mipakani mwa mapori na hifadhi watasemaje maana kila siku wanapishana na wanyama hakuna anaemdhuru mwenzake na mnyama akifanya fujo anaandikwa viboko tua anatii na kurejea zake huko maporini.eti wanamwitia mnyama kama huyo kikosi cha kupambana na majambazi kweli ni aibu sana kwa watu wa mali asili.taifa linatumia garama kubwa kuwahifadhi hawa wanyama wao wanapiga risasiDar bwana, nyati wanamwitia ant robbery....ka rob wapi!?
mkoani huyo tungemrudisha msituni kwa fimbo tu.
Wacha umbulula weweKuna mshikaji kakomaa na risasi ya usingizi humu. Yaani nyati yuko katika position ya kuua watoto, wanafunzi, wenda kwa miguu watu wawe wanasubiri risasi ya usingizi kuokoa nyati mmoja !Yaani jamaa anathamini maisha ya nyati jike mmoja kuliko binadamu mwenzake!
Mbulula mwenyeweWacha umbulula wewe
Mbogo ndio huyo huyo nyati
Kweli hata mimi sijakubali kama yule alikuwa ni chui,alikuwa kicheche au paka pori.