jay jeff
New Member
- Apr 16, 2023
- 1
- 0
Naomba usaidizi kwa wakaazi wa namenyere kirando na Nkasi nzima.
Mimi natokea Kenya. Nipo na jamaa mmoja kutoka eneo ilo niliyetaja niliyekutanishwa naye na Babu mmoja kutoka Holili.
Jamaa naona ni kama alinilaghai nilimpea hela anisaidie kufanya kazi fulani mwaka wa 2021 lakini hadi wa sasa hamna aliyotekeleza na ananikwepa na kunipea ahadi za uogo.
NAOMBA WAKAZI WA MAENEO HAYO WANAOWEZA KUNISAIDIA KUMPATA WAJE HAPA NIWAPE MAJINA NA NAMBARI ZAKE ZA SIMU. KWETU KENYA NI MBALI NA NKASI NA KUFIKA HUKO HATA SIJUI NITAMTAFUTA WAPI. NAWAOMBENI TAFADHALI
Mimi natokea Kenya. Nipo na jamaa mmoja kutoka eneo ilo niliyetaja niliyekutanishwa naye na Babu mmoja kutoka Holili.
Jamaa naona ni kama alinilaghai nilimpea hela anisaidie kufanya kazi fulani mwaka wa 2021 lakini hadi wa sasa hamna aliyotekeleza na ananikwepa na kunipea ahadi za uogo.
NAOMBA WAKAZI WA MAENEO HAYO WANAOWEZA KUNISAIDIA KUMPATA WAJE HAPA NIWAPE MAJINA NA NAMBARI ZAKE ZA SIMU. KWETU KENYA NI MBALI NA NKASI NA KUFIKA HUKO HATA SIJUI NITAMTAFUTA WAPI. NAWAOMBENI TAFADHALI