Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Boss Zilla wakati
anatoka alibadili Game
na kuipa ladha flan ya tofauti sana na rap tulizozoea Bongo.
Poa labda mantiki yake
ila alivyokua anapita na beat kama unapenda rap lazima uburudike unaposema hujawahi kumkubali kabisa sidhan kama
ulimsikiliza Zilla vyema
Nimewahi kumsikiliza jamaa kama mara 3 au 4 hivi, ila ni kichefu chefu. Moja, hajui hata matamshi na matumizi sahihi ya lugha, iwe kiswahili au kingereza anacholazimisha. Pili, hana uwezo wa kujadili kabisa, anaropoka mno.
Kwa lugha ya rap, jamaa hana bars kabisa. Labda unionyeshe bob.