Wakazi Vs Godzilla yupi ni master

Godzilla inaonekana ana msongo wa mawazo na asipopata matibabu mapema hali itazidi kuwa mbaya.Tangu mwaka umeanza mwenendo wake sio mzuri kabisa hata ukiangalia tweet zake utagundua hayuko sawa.Kibaya zaidi ni kuwa wasanii wenzake badala ya kumsaidia lakini wanamtumia kutafuta kick
R.i.p King
 
Godzilla inaonekana ana msongo wa mawazo na asipopata matibabu mapema hali itazidi kuwa mbaya.Tangu mwaka umeanza mwenendo wake sio mzuri kabisa hata ukiangalia tweet zake utagundua hayuko sawa.Kibaya zaidi ni kuwa wasanii wenzake badala ya kumsaidia lakini wanamtumia kutafuta kick
R.I.P Golden
 
Hakuna kitu kibaya kama kuachwa na mwanamke bila kuambiwa sababu haswa kwa mwanaume unakua unajiuliza huyu mwanamke nimemfanya nini? Au nimepungukiwa nini? Kwanini kaniacha? Huko alipokwenda anapewa nini? Au kwangu kakosa nini? Yani hayo maswali yanatesa sana wanaume hivyo mwanaume anakua anaumia ndani kwa ndani na kufa kidogo kidogo ila mwanaume unaweza mkimbia mwanamke na watoto bila sababu ya msingi lakini mwanamke atabaki anadunda tu..
 
TAARIFA RASMI ZA MSIBA WA GODZILLA (Golden Jacob Mbunda) KIFO: (Kutoka kwa Familia) Godzilla aliugua ghafla majuzi kwa kulalamika anaumwa tumbo na kutapika. Alienda kwenye Zahanati ya jirani na kwao, akagundulika ana Malaria. Wakati ameanza matibabu aliendelea kutapika, na kutokula vizuri, hii ikachangia Sukari kupanda na BP kushuka. Mnamo juzi usiku hali ilibadilika ghafla na wanafamilia wakamkimbiza hospitali ya Lugalo, ambapo ndio alifariki. MSIBA: Msiba upo nyumbani kwao na marehemu, Salasala, karibu na Shule ya Sekondari ya Green Acres. Sio mbali kutoka kituo cha Mbezi Africana. UTARATIBU WA MAZISHI: Wanasubiriwa Ndugu kutoka Mwanza (Kaka wa Marehemu) na ndugu wengine kutoka Songea, na pia kukamilisha Mipango ya kuendesha msiba. Matarajio ni kwa Mazishi kufanyika Siku ya Jumamosi katika Makaburi ya Kinondoni, Dar Es Salaam. Utaratibu wa kuaga Mwili na Misa utatolewa muda muafaka ukiwadia baada ya taratibu husika kutimia. RAMBI RAMBI: . . Michango yote ya Wasanii kutoka kwenye ma-group ya Wasanii inapokelewa na @soggydoggyanter 0754772220 (Anselm Ngaiza), ambayo inajumuisha Hip Hop Community, Umoja Wa Wasanii, Tanzania Urban Music Association (TUMA), nk. Marafiki wa Zillah katika Social Media (Twitter, Instagram, Facebook) wanaweza kutuma mchango kwa namba hizi TIGOPESA 0659421111 Mansour Rashid @papichulo_chuly 0717367673 Webiro Wasira @wakazimusic MPESA . . 0745368485 Webiro Wasira 0769991190 Prince Kessy @esilovey1 Ila kama kuna mtu anataka kutuma mchango peke yake, basi anaruhusiwa kufanya hivyo kupitia Namba ya Mama Mzazi Wa Marehemu. MARY CHARLES MBUNDA 0652810084 KING ZILLAH ALIISHI KAMA MFALME... HEBU TUMPE HESHIMA YA MWISHO NA KUMLAZA KWENYE NYUMBA YAKE YA MILELE KAMA MFALME PIA "Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe" #RIP #ZiZi #KingZillah UKITUMA HELA TUMA NA MSG
 
Back
Top Bottom