Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 17,572
- 27,320
Hio ya kuita wasanii kioo cha jamii au mfano wa kuigwa nadhani ni kupotoka - binafsi contract yangu na wasanii ni kazi zao na si vinginevyo; Najua wasanii kama binadamu nao kuna wapuuzi na upuuzi mwingi (R Kelly kuwa kwake Jela na alichofanya) haibadilishi uzuri wa kazi zake na kwamba ni King of RnB;Hiyo "entertainment" si inaendeshwa na "entertainers" na jee hao entertainers hawana wajibu kwa jamii.
Watu wanawezaje kuburudishwa na wasanii wanaowatukana na kuwadharau?
Kwahio kama unataka busara, hekima na what not kutoka kwa wasanii zaidi ya wanachofanya (nyimbo, jingle au maigizo) nadhani utakuwa disappointed at worse au at best utapata na wanafiki (kujifanya wanaguswa hata wasipoguswa), ndio maana nadhani kuwapa kina Dogo Janja sijui kuwa madiwani ni kutumia resources vibaya ni kama kutumia dekio kufagia uwanja wa nje
Sio tu kumekuwa na Kasumba ya Cancel Culture; bali kutegemea baadhi ya watu kuwa malaika na kuwalaumu, badala ya lawama hizo kuzipeleka kwa mashetani tunaowalipa...
Binafsi lawama kwa wasanii tazipeleka pale wakitoa kazi mbovu (sitaisikiliza) na sio kuangalia msimamo wao katika jamii au busara au their political prowess....
Je na sisi tunawaunga mkono hao wasanii ? Ni lini ulishatoa pesa kununua kazi ya msanii au kuingia kwenye Show yake ? Je ni vema kuwashangaa hawa wabangaizaji (usidanganywe na appearance) pale muda wa mavuno mara moja kwa miaka mitano wanapoitwa na kupewa kitu kidogo...
Binafsi lawama kwa wasanii tazipeleka pale wakitoa kazi mbovu (sitaisikiliza) na sio kuangalia msimamo wao katika jamii au busara au their political prowess....
Je na sisi tunawaunga mkono hao wasanii ? Ni lini ulishatoa pesa kununua kazi ya msanii au kuingia kwenye Show yake ? Je ni vema kuwashangaa hawa wabangaizaji (usidanganywe na appearance) pale muda wa mavuno mara moja kwa miaka mitano wanapoitwa na kupewa kitu kidogo...
- Logikos
- kufanya kulaumu sera usanii wanasiasa wasanii
- Replies: 11
- Forum: Celebrities Forum