pepsin JF-Expert Member Apr 23, 2015 3,465 6,109 Jul 9, 2015 #61 Bobuk said: Hao ndio ahueni yetu CCM, kwani wakisimamishwa tutapata a landslide win. Lakini wakimsimamisha Makaidi basi itakuwa vigumu sana CCM kushinda! Click to expand... Mkuu, hapo umemvua nguo. Itabidi achutame kama akili yake bado ina kilobytes kadhaa
Bobuk said: Hao ndio ahueni yetu CCM, kwani wakisimamishwa tutapata a landslide win. Lakini wakimsimamisha Makaidi basi itakuwa vigumu sana CCM kushinda! Click to expand... Mkuu, hapo umemvua nguo. Itabidi achutame kama akili yake bado ina kilobytes kadhaa
SHEMGUNGA JF-Expert Member Jan 13, 2012 666 147 Jul 9, 2015 #62 Naipendatz said: Ukawa ni wasakatonge tu Click to expand... wasemaaa
W wabuyaga JF-Expert Member Oct 13, 2012 1,681 588 Jul 9, 2015 #63 Ruttashobolwa said: Naona Bavicha mnajifurahisha...Rais ana patikana Dodoma jumapili! Click to expand... Sijui kama ktk wilaya mpya utapata U DC? Itabidi uongeze threads hapa JF ni ushauri tu.
Ruttashobolwa said: Naona Bavicha mnajifurahisha...Rais ana patikana Dodoma jumapili! Click to expand... Sijui kama ktk wilaya mpya utapata U DC? Itabidi uongeze threads hapa JF ni ushauri tu.
R RockSpider JF-Expert Member Feb 16, 2014 6,861 2,754 Jul 9, 2015 #64 Tumaini la Watanzania liko hapo .... Mungu ibariki Tanzania ...
PRINCE CROWN JF-Expert Member Feb 12, 2013 5,211 4,170 Jul 9, 2015 #65 Naipendatz said: Ukawa ni wasakatonge tu Click to expand... tonge lipi mkuu la sembe,au ugali wa muhogo?
Naipendatz said: Ukawa ni wasakatonge tu Click to expand... tonge lipi mkuu la sembe,au ugali wa muhogo?
Peramiho yetu JF-Expert Member May 25, 2018 5,304 14,913 Jun 25, 2019 #66 Dah hapa tulikuwa na hope kuu lakn bwana mamvi aliharibu kila kitu