pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,465
- 6,109
Hao ndio ahueni yetu CCM, kwani wakisimamishwa tutapata a landslide win.
Lakini wakimsimamisha Makaidi basi itakuwa vigumu sana CCM kushinda!
Mkuu, hapo umemvua nguo. Itabidi achutame kama akili yake bado ina kilobytes kadhaa