Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,734
- 13,104
Ccm bhana, unakuta na wewe ni mwanachama wao, ndiyo mana kumbe hata jiwe yuko hivyo kama alivyowe akiliyako unayo lakini imekosea pa kukaa ipo unaponyeaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm bhana, unakuta na wewe ni mwanachama wao, ndiyo mana kumbe hata jiwe yuko hivyo kama alivyowe akiliyako unayo lakini imekosea pa kukaa ipo unaponyeaga
Maskini hata kuandika kwenyewe hujui, najua hata ulipokesea hupajui, nimekosea?Mnataka kupata ulinzi mpaka wa wake zenu kutoka UN, yaani upewe madalaka tena ushindwe kujilinda uombe msaada wa nni? Kama hamjajipanga subilini siku mkiwa tayari ndo mpewe nchi.
Nani asiyejua alishambuliwa na magaidiKwa hiyo mnataka mtumie hilo kupatia kura.. ..hivi wananchi ni wajinga hivi...
Wewe hapoNani asiyejua alishambuliwa na magaidi
Dunia nzima yajuaWewe hapo
Mbowe ndio aliondoa ulinzi pale Area D na pia TL alipokuwa akiishi palikuwa ni karibu kwa naibu speaker ambako muda wote panalindwa na polisi ila siku ya tukio wakuwepo, Pia CCTV mbowe ndio aliziondoa?Alipigwa na gaidi mbowe anayetishia kunywesha watu sumu
Ni miaka sasa tangu Mbunge Shujaa wa taifa Tundu Anthipas Mughwai Lissu (TAML) kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku dalili zikionyesha kuhusika kwa baadhi ya watu wenye mahusiano na serikali ya CCM na vyombo vya usalama.
Ushauri wangu ni kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kulitangaza tukio hili la kipekee kuwa ni kitendo cha kigaidi dhidi ya taifa zima. Ugaidi ni ugaidi tu hata kama utafanyika au kuamriwa na rais wa nchi.
Hatua ya pili ni kuwaahidi wananchi na wanachama kuwa endapo CHADEMA watapewa ridhaa ya kuongoza dola basi watawasaka wahusika wote na kuwashtaki kwa kutumia sheria za ugaidi.
Chama pia minashauriwa kiombe rasmi msaada wa kimataifa wa ulinzi dhidi ya ugaidi unaoweza kutendwa au kuamriwa na magaidi hasa wale wenye nyadhifa za kimamlaka au hata wanaoongoza vyombo vya usalama.
Nawasilisha
Mnaidhalilisha chadema kutangaza umbea usio na mbele wala nyuma Kama kitumbuaUnamdhalilisha msajili wa vyama Vya siasa ambaye ni mteule wa rais kuwa ameacha kazi yake na kuanza kusajili Sacco's
Sent using Jamii Forums mobile app