mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,204
- 3,308
Kwa mfano mhusika akiwa n serikali mwenyewe , unalisemeaji hili?Kupigwa risasi mchana kweupe Mh Mbunge na serikali kukaa kimya huku dalili zote zikionesha mhusika ni serikali , Je, hiyo si kupanda chuki na ghadhabu kwa WATANZANIA?
Sent using Jamii Forums mobile app