Wakati Tanzania ipo gizani, Ethiopia kuzalisha 20,000MW!

Fareed

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
328
135
Tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani 2005 mpaka 2010, serikali yake imeongeza uzalishaji wa umeme kwa 145 MW tu.
Mpango mpya wa miaka mitano wa serikali umepanga kuhakikisha kuwa Tanzania inazalisha 2,780 MW kuanzia sasa mpaka 2015/16.

Je, kama miaka 5 ya uongozi wa Kikwete imewekeza kwenye 145 MW, itatumia miujiza gani kuzalisha karibu 3,000 MW kwenye miaka 5 ijayo?

Tuache hayo. Wakati Tanzania inafikiria kuzalisha pungufu ya 3,000 MW kwenye miaka 5 ijayo, nchi ya Ethiopia imepanga kuzalisha 20,000 MW (Twenty thousand megawatts) kwenye miaka 10 ijayo mpaka kuuza nje. Ethiopia wanawezaje na Tanzania ishindwe wakati nchi hiyo ina ukame mkubwa kufananisha na taifa letu?

Ethiopia plans power exports to neighbours

Wed Jun 29, 2011

By Aaron Maasho

ADDIS ABABA (Reuters) - Ethiopia plans to sell power to Sudan, Yemen, Kenya and even Egypt, with whom it is at odds over the Nile's waters, as it ramps up power production to become a major exporter in the continent, its utility said.

It aims to produce 20,000 megawatts (MW) of power within the next 10 years, part of a plan to spend $12 billion over 25 years to raise power generating capability.

Ethiopia is also building a 5,250 MW dam along the Nile, while six other projects are either planned or under construction with an aggregate capacity of over 5,000 MW.

"Whenever we are in a position to provide surplus (to Sudan), it could go up to 100 or 200 MW. This is the base of the first purchase agreement, but it depends on our capacity to avail extra power," Mihret Debebe, chief executive of the state-run Ethiopian Electric Power Corporation, told Reuters in an interview on Wednesday.

"The market has no limit (on exports to Sudan)."

Officials estimate that the hydropower potential of the nation -- blessed with cascading rivers flowing through rugged mountains -- is around 45,000 MW.

Mihret said Ethiopia had already started transmitting 50 MW to Djibouti, while exports to the eastern Sudanese towns of Gadarif and Gallabat were expected in one or two months.

Ethiopia will also provide 5 MW to Kenya's northern Moyale town next month, while an agreement has been signed to further connect to Yemen through Djibouti's underwater sea cable, Mihret said.

"The three countries have already signed a memorandum of understanding. Hopefully when the situation (in Yemen) stabilises we will proceed to this action," he said.

REGIONAL CORRIDORS

The Horn of Africa nation has also plans to construct a 1,300 km 500 kV transmission interconnector with Kenya to sell electricity to its southern neighbour.

Ethiopia secured a multi-million dollar deal with France this month for the scheme.

"The feasibility, preliminary design, selection of the best design option -- all the background work has been done smoothly and will enter to the development phase (soon)," Mihret said.

Another project -- a 3,000 km 500 kV line linking Ethiopia with Sudan and Egypt, is also planned.

A feasibility study has already been carried out under the auspices of the Nile Basin Initiative, a grouping of nine countries along the river, Mihret said.

"When the three countries are ready to start the project and development partners' financial allocation is in the right place, it will be started," he said.

"The fact that Ethiopia has expedited the development of generation projects in the basin with such mega scale is definitely making a reality the transmission line project," Mihret added.

The nine countries through which the river passes have for more than a decade been locked in often bitter talks to renegotiate colonial-era treaties that gave Egypt and Sudan the lion's share of the river's waters.

However, six of the nine upstream countries -- Ethiopia, Kenya, Uganda, Rwanda, Tanzania and Burundi -- have signed a new deal stripping Egypt of its veto and agreeing to renegotiate how much water each country is entitled to.

Mihret however, said Cairo has never had qualms over importing power.

"In terms of power flow they have never opposed. They are the key players," he said.

Mihret said regional projects of such scale would boost the economies of African countries, and added that Ethiopia eyed more projects in the future.

"Regional interconnection gives you more confidence in complementary power flow in terms of hydro-thermal links and power balance in the region," he said.

Ethiopia plans power exports to neighbours | Top News | Reuters
 
Tatizo la Kikwete na serikali yake ni kuwa they don't think big. Wao daima wanazungumzia miradi ya 45MW, 100MW au 300MW, wakati kwenye mradi mmoja tu Ethiopia wanazalisha 5,250 MW. Uko wapi mradi wa Stiegler's Gorge??!
 
Hawa sio wenzetu kabisa, wakati sisi tunashangilia UDOM kila kukicha, hawa jamaa wao wanaplan big...
Ethiopia Allocates Funds for 13 New Universities
 
Raisi wetu yeye ana kata anga mida hii yuko kwenye pipa akielekea africa maghalibi. Hayo ya umeme hayamuhusu yeye
 
hawa wetu wanawaza kucheza KIDUKU, kulipana POSHO, kutowashtaki MAFISADI, kusafiri NG'AMBO, kutoa ahadi HEWA, kuongea PUMBA nk "wavivu wa kufiki na wazito wa kusikia"
 
Hivi jamani
viongozi wetu hata wanavyo safiri hawaoni maendeleo ya wenzetu? je hawapati wivu juu ya hayo maendeleo

hivi hata habari za hawa waethiopia wao hawazisikii? hata ndege za waethiopia viongozi hawazioni? yaani hawana hata wivu wa maendeleo kwa kile wakionacho wakati wakisafiri?

mimi nashindwa kuelewa kabisaaa

ina maana sisi wa JF ndio tuonayo haya peke yetu na viongozi wetu hawaoni,hawasomi habari,hawasikii, ama hawaoni umuhimu wa hii nchi kuendelea?

inauzi kweli jamani
 
Yani Kikwete kawekeza kwenye 145 MW tu za umeme kwenye kipindi chake cha kwanza cha miaka mitano?! Kwa kweli huu mgao wa umeme unaoendelea kutusulubu Watanzania sasa hivi ni kosa la JAKAYA MRISHO KIKWETE. Inaniuma sana!
 
Tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani 2005 mpaka 2010, serikali yake imeongeza uzalishaji wa umeme kwa 145 MW tu.
Mpango mpya wa miaka mitano wa serikali umepanga kuhakikisha kuwa Tanzania inazalisha 2,780 MW kuanzia sasa mpaka 2015/16.

Je, kama miaka 5 ya uongozi wa Kikwete imewekeza kwenye 145 MW, itatumia miujiza gani kuzalisha karibu 3,000 MW kwenye miaka 5 ijayo?

Tuache hayo. Wakati Tanzania inafikiria kuzalisha pungufu ya 3,000 MW kwenye miaka 5 ijayo, nchi ya Ethiopia imepanga kuzalisha 20,000 MW (Twenty thousand megawatts) kwenye miaka 10 ijayo mpaka kuuza nje. Ethiopia wanawezaje na Tanzania ishindwe wakati nchi hiyo ina ukame mkubwa kufananisha na taifa letu?



Ethiopia plans power exports to neighbours | Top News | Reuters

Aisee kumbe Melesi Zenawi (sina uhakika na spelling) ni kichwa eeeeee? Bravo Ethiopia
 
tufanye mchakato mkubwa sana kuelekea mabadiliko. kila mwana jamiiforums ahakikishe kijijini/nyumbani anakotokea anaelimisha watu kadiri hali inavoruhusu juu ya ubaya wa seriakali ya ccm na namna ilivotuviza kimaendeleo kulinganisha na mali asili tulizojaaliwa na kwamba upinzani haumaanishi uvunjifu wa amani kama propaganda zinavopakazwa, watu waelezwe kutakuwa na maisha hata bila ccm (obvious yenye mafanikio zaidi) ili uchaguzi ujao wasiharibu ovyo kura kwa kuchagua ccm. tutashinda! tusiishie tu kusikitika humu jamvini maana wengi ya walio vjjini hata hawajui jamiiforums na unyang'au unaotendeka serikalini
 
hawa wanaweza si unaona hata shirika lao la ndege nina midege kama ya ulaya

na wana mtu tajiri (bilionea mzalendo) anayependa nchi yake

Sharobalo hana muda na Tanzania kwa sasa, anatafuna maisha kwa kula kuku kwenye mawingu. Inabidi ashauriwe aende akatembee ISS huko juu karibu na mwezi. Watawasiliana na NASA kuwa sharabalo aende IIS kutembea
 
Ethiopia has always been winners

mohammed-al-amoudi.jpg


Mohammed Al Amoudi

Sisi we cant even decide to build SERENGETI HIGHWAY tunawaachia wa KENYA na abunch of eco terrorists from WWF etc kutuamulia what's good or bad for us
 
kwani Ethiopia kuna watu wangapi? Lakini, tujiulize vyanzo vyetu vyote vya umeme vina uwezo (vikiendelezwa) wa kuzalisha kiasi gani? labda tuna tatizo la vyanzo vya umeme.
 
Back
Top Bottom