Wakati si milele

Wakati si milele

Wapiga dili kina Roma,Nape,Aesh,Bashe na walalahoi wengi Tanzania. Ni kweli kabisa upiga dili wao usitucheleweshe kuifikia Tanzania mpya.

Bashe=Rostam=mamvi=Gwajima=endelea kuconnect the dot utaliewa somo tu..nyie wengine wapiga debe hamjui kinachoendelea ukiwamo ww mshana jr
 
Ha ha ha rafiki duuuuh hii ni ndoto kaka haitakua wala nini... CCM Chama kubwa ata wakihama watu lakimoja, CCM haitingishiki ata kidogo... Unachosema wewe ni sawa na mkia wa Ng'ombe utingishe kiwiliwili
 
Back
Top Bottom