Au kuna watu wanamchoma sindano za kuongeza nguvu huyu mahututi wetuBasi utakuwa hujui maana ya unafiki
Anaitwa Peter M.Senge🙂Asante mtunzi wa kitabuView attachment 494361
Ni suala la muda tu.Maji yanapojaa humwagika, uchungu unapozidi watu hulia, maumivu yakizidi mtu hupiga kelele
Ukimsifia mtu kuwa ana mbio sana usimsahau na anayemkimbiza..kwakuwa usingejua mbio zake bila huyo....!!!!
Kuna uprising ya wazi ndani ya chama cha mapinduzi, kuna uprising kubwa kwa wasanii, kuna uprising kubwa kwenye kila kada ndani ya jamii
Woga umewatoka watu, ni aina fulani ya mchoko... Bahati mbaya sana mchoko huo indicator imetoka ndani ya chama dume.. Watu waliandamana mioyoni Kimyakimya Kimyakimya lakini sasa sio siri tena No longer at ease n things fall apart..
Huu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...
![]()
Mshana,inawezekana maono yako yakawa kweli lakini yangekuwa kweli zaidi kama ungewafanyia tathmini watanzania.Watanzania ni watu wa namna gani,wanajua wanachokitafuta,wanaweka kumbukumbu kwa miezi mingapi,wanafurahishwa na nini?Maji yanapojaa humwagika, uchungu unapozidi watu hulia, maumivu yakizidi mtu hupiga kelele
Ukimsifia mtu kuwa ana mbio sana usimsahau na anayemkimbiza..kwakuwa usingejua mbio zake bila huyo....!!!!
Kuna uprising ya wazi ndani ya chama cha mapinduzi, kuna uprising kubwa kwa wasanii, kuna uprising kubwa kwenye kila kada ndani ya jamii
Woga umewatoka watu, ni aina fulani ya mchoko... Bahati mbaya sana mchoko huo indicator imetoka ndani ya chama dume.. Watu waliandamana mioyoni Kimyakimya Kimyakimya lakini sasa sio siri tena No longer at ease n things fall apart..
Huu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...
![]()
Hii avatar yako huyo Dada ni yule "fugitive "Umenena vyema kiongozi
Watu wamichoka CCM balaa
Nipe sababu tatu tu za kuichoka ccm hii ambayo hata makada waliozoea kupiga kwa kutumia ccm hawawezi tena..kwa sasa labda mtoke nyie mliozoea kupiga mtupishe tuingie sie tuliokuwa tukichukizwa kwa muda mrefu na ccm kwa kuachia wanachama kupiga ikiwemo wafanyabiashara ambao wana ccm kukwepa kodi kwa mgongo wa chama..kwa hiyo sioni ajabu hao wakitishia nyau.Maji yanapojaa humwagika, uchungu unapozidi watu hulia, maumivu yakizidi mtu hupiga kelele
Ukimsifia mtu kuwa ana mbio sana usimsahau na anayemkimbiza..kwakuwa usingejua mbio zake bila huyo....!!!!
Kuna uprising ya wazi ndani ya chama cha mapinduzi, kuna uprising kubwa kwa wasanii, kuna uprising kubwa kwenye kila kada ndani ya jamii
Woga umewatoka watu, ni aina fulani ya mchoko... Bahati mbaya sana mchoko huo indicator imetoka ndani ya chama dume.. Watu waliandamana mioyoni Kimyakimya Kimyakimya lakini sasa sio siri tena No longer at ease n things fall apart..
Huu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...
![]()
Ha ha ha rafiki duuuuh hii ni ndoto kaka haitakua wala nini... CCM Chama kubwa ata wakihama watu lakimoja, CCM haitingishiki ata kidogo... Unachosema wewe ni sawa na mkia wa Ng'ombe utingishe kiwiliwiliHuu sio utabiri ni maono yenye kubeba uhalisia..... Muda Kama huu mwakani ccm itakuwa sio hii ya sasa iliyoshikiliwa na fito chache...