Wakati saruji Kenya ikiuzwa Tsh 12,000/=, Tanzania inauzwa Tsh 24,000/=

Zambia diesel ni tsh 1200 kwa lita,Hali yanapitia Bandari yetu,si ajabu
Una point Ila umezungumza kishabiki zaidi ,, ni kweli mafuta mengi ya zambia yanapita kwetu Ila siyo yote , Siku hizi wanachukua beira na walvis bay Namibia .
Kwenye Bei umepotea kidogo, zambia diesel ni wastan wa kwacha 15600 Hadi 17000 kwa Lita ambayo ni equivalent ya shilingi za kitanzania Kama 1700 hadi 1900 kwa Lita
 
Juzi nilikuwa mpaka wa Kenya na Tanzania eneo la Sirari, nilitokea Arusha nikapita Serengeti, Nyamongo, Nyamwaga hadi Sirari, njiani nilikuwa nakutana na vijana wa bodaboda wakikimbiza pikipiki kwa speed kali huku wakiwa wamebeba mifuko ya cement.

Nilipofika Sirari niliwauliza wenyeji kuhusu wale bodaboda wakaniambia wananatoa cement Kenya wanapeleka Tanzania na hii ni kutokana kuwa cement ya Kenya ipo chini mara mbili ya ile ya Tanzania, nimefikria sana hili suala sijapata jibu, inakuwaje cement ya Kenya nchi ambayo tupo nayo ukanda mmoja iwe na bei ndogo mara mbili ya ile Tanzania?

Hebu fikria mfuko wa cement kule Kenya ni TSH 12000/= wakati huku Tanzania ni TSH 24000/= kwanini Tanzania iwe juu tofauti na kule Kenya?
Jamaa wa TREI kesho wanaweka kambi hapo Sirari
 
Wewe unafikili wanatumia mawe kununua siment?

Kenya wanatumia Ksh.
Hivyo mleta post alichoimanisha ni kuwa ukinunua kwa Ksh thamani yake ni sawa na TSH 12,000/
Pia kwenye mipaka ya Nchi mala nyingi huwa hatubadilishani pesa,badala yake bidhaa unayotaka kununua, muuzaza atakuambia bei ya nchini kwake na bei ya Nchi yako.
Hawa vichwa maji hawajui hilo, wamekalia ubishi usio na tija tu.
 
Juzi nilikuwa mpaka wa Kenya na Tanzania eneo la Sirari, nilitokea Arusha nikapita Serengeti, Nyamongo, Nyamwaga hadi Sirari, njiani nilikuwa nakutana na vijana wa bodaboda wakikimbiza pikipiki kwa speed kali huku wakiwa wamebeba mifuko ya cement.

Nilipofika Sirari niliwauliza wenyeji kuhusu wale bodaboda wakaniambia wananatoa cement Kenya wanapeleka Tanzania na hii ni kutokana kuwa cement ya Kenya ipo chini mara mbili ya ile ya Tanzania, nimefikria sana hili suala sijapata jibu, inakuwaje cement ya Kenya nchi ambayo tupo nayo ukanda mmoja iwe na bei ndogo mara mbili ya ile Tanzania?

Hebu fikria mfuko wa cement kule Kenya ni TSH 12000/= wakati huku Tanzania ni TSH 24000/= kwanini Tanzania iwe juu tofauti na kule Kenya?
Meko ndio mwenye tatiZo. Meko ni kilaza
 
Juzi nilikuwa mpaka wa Kenya na Tanzania eneo la Sirari, nilitokea Arusha nikapita Serengeti, Nyamongo, Nyamwaga hadi Sirari, njiani nilikuwa nakutana na vijana wa bodaboda wakikimbiza pikipiki kwa speed kali huku wakiwa wamebeba mifuko ya cement.

Nilipofika Sirari niliwauliza wenyeji kuhusu wale bodaboda wakaniambia wananatoa cement Kenya wanapeleka Tanzania na hii ni kutokana kuwa cement ya Kenya ipo chini mara mbili ya ile ya Tanzania, nimefikria sana hili suala sijapata jibu, inakuwaje cement ya Kenya nchi ambayo tupo nayo ukanda mmoja iwe na bei ndogo mara mbili ya ile Tanzania?

Hebu fikria mfuko wa cement kule Kenya ni TSH 12000/= wakati huku Tanzania ni TSH 24000/= kwanini Tanzania iwe juu tofauti na kule Kenya?
Boss, Kuna maswali mengi umeulizwa kwa ufahamu zaidi. Lakini pia ulistahili ufahamu biashara ktk ukanda huu zinavyoendeshwa. Hatujawa na soko la pamoja kiasi cha kuweka bei ya aina moja. Kwa maana hiyo Simenti ya Sirari, inatyotoka upende wetu imezalishwa Tanga, DSM na Mtwara. Hayo ni mambo yanahitaji ufahamu wako tu na huhitaji kuuliza swali JF. Uliza bidhaa zote zinazopitia Dar hadi Mtukula, utaona bei inavyogawanywa kati ya TZ na Uganda.
Acha mtindo wa kulinganisha Kenya mna TZ wakati ungeweza kujisomea mwenyewe na kuona hatuna la kuiga toka huko. Huu ni udhaifu! Mbaya zaidi hata Wabunge wa upinzani walifikia hatua ya kujadili mambo ya kitaifa kwa kulinganisha na Kenya. Hawa niliwaita wapuuzi kabisa!
 
Mbaya zaidi utakuta ni mtu wa sosholoji hata kipimo cha tofali hukijui lakini leo ndio unasema cement ya kenya sio bora.

Sijui waafrika tuna kwama wapi!!
Mbona tuna madharau mengi. Yaani una maana mtu wa sociology ndiyo hawajui ubora wa sementi. Kwa taarifa yako ubora wa sementi unategemea hiyo sementi unatumia kwenye nini. Pia ubora wa sementi ni fani inayowahusu watengenezaji. Wewe hata ukiwa nuclear scientist huwezi kujuwa ubora wa sementi bila kujulishwa, kwani hiyo si fani yako. Kwa fupi siyo sociologist tu ndiyo mbumbu inapokuja kwenye ubora wa sementi bali hata electrical engineers, physicists, physicians, na fani karibu zote ispokuwa zile za construction ambao ndiyo watumiaji. Na hapo hata yule ambaye hakusoma, lakini ni mjenzi anaujuwa umuhimu wa sementi nzuri (ubora) kwenye ujenzi.
 
Back
Top Bottom