cantonna
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,120
- 439
KENYA YAANZA KUGAWA LAPTOP KWA WANAFUNZI
Kuanzia 3/5/2016 Kenya ilianza kutekeleza mpango wake wa kugawa laptop kwa wanafunzi wote nchini mpango huo umedhamiria kugawa laptop 600,000 mpaka kufikia mwezi Juny mwaka huu.
Wenzetu wakenya wakiwa na mkakati wa kuhakikisha angalau shule zote za msingi zenye miundo mbinu bora hasa ya umeme, wanafunzi wapatiwe laptop ili kuweza kuinua taaluma lakini Tanzania ya Mzee wa hapa kazi tuu yenyewe bila haya inatembeza bakuli la kuomba madawati ama kweli hii na aibu. Madawati utata kutoa Laptop kwa wanafunzi kama Kenya itawezekana? Kweli aibu.
Kuanzia 3/5/2016 Kenya ilianza kutekeleza mpango wake wa kugawa laptop kwa wanafunzi wote nchini mpango huo umedhamiria kugawa laptop 600,000 mpaka kufikia mwezi Juny mwaka huu.
Wenzetu wakenya wakiwa na mkakati wa kuhakikisha angalau shule zote za msingi zenye miundo mbinu bora hasa ya umeme, wanafunzi wapatiwe laptop ili kuweza kuinua taaluma lakini Tanzania ya Mzee wa hapa kazi tuu yenyewe bila haya inatembeza bakuli la kuomba madawati ama kweli hii na aibu. Madawati utata kutoa Laptop kwa wanafunzi kama Kenya itawezekana? Kweli aibu.


