Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
i agree with u ila nachoona wajaribu hamisha mind na change the topic kijanja...kapuya ofcourse kapelekwa india kwa fweza zetu sie wananchi..tena kwa fungu ambalo yawezekana limeibwa walaa halijaandikwa mahali..sasa kama ni kupewa afya it means uhai wa ule mwingine haukuwa muhimu kwa ccm??wote walikua in one ajali...ila ndio hivyo dunia haiko fair ila ccm imezidiiiiiii
watachemsha tu maana hawana bollz za kutetea hoja zao hapa. Baada ya muda wakishindwa hoja wataanza kupondea kuwa JF ni ya chadema.
Nimesubiri nione wakisema kuwa Mbowe anasomeshwa na pesa ya kodi ila kimya. Kapuya kapelekwa kwa pesa ya serikali na kwao hilo hawaoni. Mwanzoni nilitaka kukubali waliposema kuwa nikapimwe akili ila sasa nimeanza kuamini kuwa kuna wengi on that side wanahitaji hiyo service