Uchaguzi 2020 Wakati CCM ilipokuwa inahimiza wanachama wake kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura, CHADEMA mlisusia, mtashinda uchaguzi kwa muijiza gani?

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Nakumbuka CCM walikuwa makini sana mwanzoni kabisa kuhimiza wanachama wake kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, CHADEMA wao walikua kwenye msuso ,ikumbukwe baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa walibaha ,kwani walitegemea mataifa ya nje yataingilia mchakato ,haikuwa hivyo.

CHADEMA wakaanza ooh! hatutashiriki kwenye uchaguzi bila tume huru ,tunataka marekebisho ya katiba nakadhalika ,vyote hivyo hawakuvipa umuhimu uanaostahili ,wakaachana navyo , sasa wamekubali kwenda kwenye uchaguzi bila tume huru wala marekebisho ya katiba ,ikumbukwe pia hawakuhimiza wanachama wao kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la wapiga kura.

Walikua bize na matukio ambayo hayakuwajenga hata kidogo,chadema mtaji wao ni mitandao ya kijamii tu yenye watu wenye user kumikumi,hawa wanawapoteza sana ,wamesahau field ndiko kwenye mtaji wa kura, na ccm ndio imejisimika barabara.

Nauliza tena chadema watashinda uchaguzi kwa muujiza gani ?

Sana ninachokiona wanaingia kwenye uchaguzi huu wakijua hawatashinda ,ispokua lengo lao ni kuja kuleta vurugu ya maandamano na kuchoma mioto hovyo mabarabarani kama tuonavyo kwa baadhi ya nchi, , wakikataa matokeo ya uchaguzi,hili limepangwa kwa ustadi mkubwa sana ,Lissu alipokuwa huko Ubelgiji kwa waasisi wa mapinduzi,kujua hilo fuatilia kauli za Lissu na viongozi wa chadema utajua namaanisha nini,bado.hujauza sera.kwa wananchi unakimbilia kukataa matokeo,hii ni hatari Sana.

Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama kufuatilia nyendo zao kwa umakini sana kuanzia sasa mpaka pale tutakapomaliza kupiga kura na matokeo kutangazwa

Mwisho: kwa umuhimu ,ni jukumu letu sote kama watanzania kwa kila mmoja wetu kuwa askari wa mwingine,na kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi na usalama unapohisi vihatarishi vyovyote vya uvunjifu wa amani,taifa likibomoka tunabomoka sote na kizazi kijacho,walioivuruga Libya wamepewa hifadhi ughaibuni huku nchi hiyo ikiangamia na walielezwa wanaenda kupewa demokrasia bora ya kimagharibi,iko wapi sasa?
 
Kwa taarifa yako tuna vitambulisho vya kutosha, tunasubiri ule mchezo ambao mlikuwa mnatumia vyombo vya dola kuratibu wizi wa mabox ya kura, wasimamizi wa uchaguzi kufunga ofisi, na kuongezea makosa ili wawaengue wapinzani.

Hao vyombo vya dola unaowaota, ndio hao wanaoratibu wapinzani kupingwa na vikundi vya wanaccm, na wao ndio husimamia uhayawani wote dhidi ya wapinzani. Safari hii hatuko tayari kuporwa kura kwa nguvu ya dola.
 
Kwa taarifa yako tuna vitambulisho vya kutosha, tunasubiri ule mchezo ambao mlikuwa mnatumia vyombo vya dola kuratibu wizi wa mabox ya kura, wasimamizi wa uchaguzi kufunga ofisi, na kuongezea makosa ili wawaengue wapinzani. Hao vyombo vya dola unaowaota, ndio hao wanaoratibu wapinzani kupingwa na vikundi vya wanaccm, na wao ndio husimamia uhayawani wote dhidi ya wapinzani. Safari hii hatuko tayari kuporwa kura kwa nguvu ya dola.
Sawa kwa pumzi nyuma ya keyboards uko sawa,nakwambia mtachakaa kwa kipigo na hakuna.mzungu atakaye wasaidia
 
Sawa kwa pumzi nyuma ya keyboards uko sawa,nakwambia mtachakaa kwa kipigo na hakuna.mzungu atakaye wasaidia

Ni kweli tutapigwa sana, lakini huo ndio utakuwa mwisho wa box la kura kuchezewa kwa amri ya mwenyekiti wa ccm. Kwa kipigo hicho ndio itapelekea tume huru ya uchaguzi kupatikana, na katiba ya wananchi lazima ipatikane. Uzoefu unaonyesha watawala wa kiafrika hawakubali mabadiliko bila machafuko. Zengueni safari hii machafuko lazima yatokee.
 
Mimi hawakunihimiza mbona nimejiandikisha...acheni kutafuta huruma ya wananchi

#LISU4PRESIDENT2020.
 
Tatizo mnajifanya hamna akili, yaani tayari mmeshasahau kuwa mlitunga sheria kuzuia vyama vya siasa kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura, ila Serikali ndiyo wenye jukumu hilo, na mlifanya hivyo kwa vile njie ccm aka gambas ndio mmeshika mpini.
 
Tatizo mnajifanya hamna akili, yaani tayari mmeshasahau kuwa mlitunga sheria kuzuia vyama vya siasa kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura, ila Serikali ndiyo wenye jukumu hilo, na mlifanya hivyo kwa vile njie ccm aka gambas ndio mmeshika mpini.
Taja sheria na kifungu kinachozuwia vyama vya siasa kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura,wakati hili linafanyika ndani ya vikao vya ndani vya vyama vyenyewe
 
Nakumbuka CCM walikuwa makini sana mwanzoni kabisa kuhimiza wanachama wake kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, CHADEMA wao walikua kwenye msuso ,ikumbukwe baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa walibaha ,kwani walitegemea mataifa ya nje yataingilia mchakato ,haikuwa hivyo.

CHADEMA wakaanza ooh! hatutashiriki kwenye uchaguzi bila tume huru ,tunataka marekebisho ya katiba nakadhalika ,vyote hivyo hawakuvipa umuhimu uanaostahili ,wakaachana navyo , sasa wamekubali kwenda kwenye uchaguzi bila tume huru wala marekebisho ya katiba ,ikumbukwe pia hawakuhimiza wanachama wao kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la wapiga kura.

Walikua bize na matukio ambayo hayakuwajenga hata kidogo,chadema mtaji wao ni mitandao ya kijamii tu yenye watu wenye user kumikumi,hawa wanawapoteza sana ,wamesahau field ndiko kwenye mtaji wa kura, na ccm ndio imejisimika barabara.

Nauliza tena chadema watashinda uchaguzi kwa muujiza gani ?

Sana ninachokiona wanaingia kwenye uchaguzi huu wakijua hawatashinda ,ispokua lengo lao ni kuja kuleta vurugu ya maandamano na kuchoma mioto hovyo mabarabarani kama tuonavyo kwa baadhi ya nchi, , wakikataa matokeo ya uchaguzi,hili limepangwa kwa ustadi mkubwa sana ,Lissu alipokuwa huko Ubelgiji kwa waasisi wa mapinduzi,kujua hilo fuatilia kauli za Lissu na viongozi wa chadema utajua namaanisha nini,bado.hujauza sera.kwa wananchi unakimbilia kukataa matokeo,hii ni hatari Sana.

Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama kufuatilia nyendo zao kwa umakini sana kuanzia sasa mpaka pale tutakapomaliza kupiga kura na matokeo kutangazwa

Mwisho: kwa umuhimu ,ni jukumu letu sote kama watanzania kwa kila mmoja wetu kuwa askari wa mwingine,na kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi na usalama unapohisi vihatarishi vyovyote vya uvunjifu wa amani,taifa likibomoka tunabomoka sote na kizazi kijacho,walioivuruga Libya wamepewa hifadhi ughaibuni huku nchi hiyo ikiangamia na walielezwa wanaenda kupewa demokrasia bora ya kimagharibi,iko wapi sasa?
Uchaguzi ni Sayansi!
 
Nakumbuka CCM walikuwa makini sana mwanzoni kabisa kuhimiza wanachama wake kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura, CHADEMA wao walikua kwenye msuso ,ikumbukwe baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa walibaha ,kwani walitegemea mataifa ya nje yataingilia mchakato ,haikuwa hivyo.

CHADEMA wakaanza ooh! hatutashiriki kwenye uchaguzi bila tume huru ,tunataka marekebisho ya katiba nakadhalika ,vyote hivyo hawakuvipa umuhimu uanaostahili ,wakaachana navyo , sasa wamekubali kwenda kwenye uchaguzi bila tume huru wala marekebisho ya katiba ,ikumbukwe pia hawakuhimiza wanachama wao kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la wapiga kura.

Walikua bize na matukio ambayo hayakuwajenga hata kidogo,chadema mtaji wao ni mitandao ya kijamii tu yenye watu wenye user kumikumi,hawa wanawapoteza sana ,wamesahau field ndiko kwenye mtaji wa kura, na ccm ndio imejisimika barabara.

Nauliza tena chadema watashinda uchaguzi kwa muujiza gani ?

Sana ninachokiona wanaingia kwenye uchaguzi huu wakijua hawatashinda ,ispokua lengo lao ni kuja kuleta vurugu ya maandamano na kuchoma mioto hovyo mabarabarani kama tuonavyo kwa baadhi ya nchi, , wakikataa matokeo ya uchaguzi,hili limepangwa kwa ustadi mkubwa sana ,Lissu alipokuwa huko Ubelgiji kwa waasisi wa mapinduzi,kujua hilo fuatilia kauli za Lissu na viongozi wa chadema utajua namaanisha nini,bado.hujauza sera.kwa wananchi unakimbilia kukataa matokeo,hii ni hatari Sana.

Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama kufuatilia nyendo zao kwa umakini sana kuanzia sasa mpaka pale tutakapomaliza kupiga kura na matokeo kutangazwa

Mwisho: kwa umuhimu ,ni jukumu letu sote kama watanzania kwa kila mmoja wetu kuwa askari wa mwingine,na kutoa taarifa kwa vyombo vya ulinzi na usalama unapohisi vihatarishi vyovyote vya uvunjifu wa amani,taifa likibomoka tunabomoka sote na kizazi kijacho,walioivuruga Libya wamepewa hifadhi ughaibuni huku nchi hiyo ikiangamia na walielezwa wanaenda kupewa demokrasia bora ya kimagharibi,iko wapi sasa?
Si kweli wapiga kura wamejitokeza na wamepiga kura kwa wingi sana
 
Back
Top Bottom