Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ccm imekuwa na tabia ya kucheza na akili za wapinzani pale wanapojisahau.
Nawaomba viongozi wakuu wa cdm kuhakikisha wanatoa elimu ya kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.
Cdm ina watu wengi sana kwenye majukwaa na hakika wanaipenda cdm lkn umuhimu wa wao kupiga kura hawauoni.
Viongozi tafadhali sana kila mnapofanya mkutano wenu muda wowote ule toeni pia elimu ya kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wakapige kura .
Msisubiri uchagzi ukaribie ndiyo mfanye hivyo maana elimu ikiwaingia watu kwa muda mrefu inakuwa rahisi sana kuitumia.
....ushauri wa...Mmawia.
Nawaomba viongozi wakuu wa cdm kuhakikisha wanatoa elimu ya kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.
Cdm ina watu wengi sana kwenye majukwaa na hakika wanaipenda cdm lkn umuhimu wa wao kupiga kura hawauoni.
Viongozi tafadhali sana kila mnapofanya mkutano wenu muda wowote ule toeni pia elimu ya kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura na wakapige kura .
Msisubiri uchagzi ukaribie ndiyo mfanye hivyo maana elimu ikiwaingia watu kwa muda mrefu inakuwa rahisi sana kuitumia.
....ushauri wa...Mmawia.