Wakandarasi wa Kichina wanatuharibia dada zetu

Wakandarasi wa Kichina wanatuharibia dada zetu

Ulimbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2009
Posts
3,766
Reaction score
4,046
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
 
Kuna mchina aliniambia kuoa mchina mwenzake inabidi ujipange sana

Too complicated
Sasa kwanini wanazaana sana na kuwa ni taifa lenye watu wengi duniani? Kwanini wanawekewa ukomo wa kuzaa na serikali yao ya kuzaa mtoto mmoja?
 
Mpaka Wachina sasa hivi wameamua kuunga mkono juhudi.

Hapa wanatekeleza kwa vitendo ile kauli ya maendeleo hayana chama.
 
Wachina na maswala ya safety wapi na wapi wao ni mrisho mpoto
 

Attachments

  • Screenshot_20191109-120723~2.jpeg
    Screenshot_20191109-120723~2.jpeg
    50.6 KB · Views: 8
Hiyo sera iliwekwa na Mao kutokana na population kuwa kubwa isiyoakisi uchumi wa Nchi yao

Ila iliondolewa siku hizi wanaruhusiwa wawili
Sasa kwanini wanazaana sana na kuwa ni taifa lenye watu wengi duniani? Kwanini wanawekewa ukomo wa kuzaa na serikali yao ya kuzaa mtoto mmoja?
 
Sasa kwanini wanazaana sana na kuwa ni taifa lenye watu wengi duniani? Kwanini wanawekewa ukomo wa kuzaa na serikali yao ya kuzaa mtoto mmoja?
sio kwel, wachina hawazai sana sema tu wao ni wengi. Sheria ya kuzaa mtoto mmoja ilipitishwa mwaka 1979. Lengo lilikuwa kuongeza workforce( nguvukazi), kwenye ujenzi wa taifa maana ilionekana mama akizaa watoto wengi atatumia muda mwingi kulea na kushindwa kufocus kwenye ujenzi wa taifa. Population ya watu china 2600BC ilikuwa approximately 2million.
 
Mkuu mbona wao wametulia ina maana wanavyosaidiwa majukumu ndio na wao wanakubali kutoa kwa hiari yao bila shuruti hata angekuwa dada yako mwachie na maisha yake sawa
Ccc NAKWEDE
 
Wanajamvi, nimekuwa nawaza sana kuhusiana na hawa wanajiita wakandarasi wa Kichina ambao wanajenga barabara na miradi mbalimbali hapa nchini.

Sijawahi waona wakandarasi wa kike ila ni wa kiume tu.

Maswali yangu ni haya:
1: Je, hakuna wataalamu wa kike wa Kichina?

2: Hawa wanaume wa Kichina hawana wake zao? Na kama wanao, Je kwanini wasiruhusiwe waje nao huku?

Wanawaharibu dada zetu.
Tatizo si wachina,ni dada zetu na siye kaka zao.Ajira hakuna,uchumi duni na hata nguvu za kiume shida(wavivu wa mazoezi). Kwa nini wasiende huko kwa wakandarasi wakakandarasiwa kisawa sawa?
 
Back
Top Bottom