Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Habari ya mwaka mpya waungwana.
Nimekuwa nikitatizwa sana na hili jambo,naombeni wenye uelewa wanisaididie ili na wengine wenye interest ya kujua wanufaike.
Nataka kujua,ile "tochi" ya matrafiki wa barabarani inatumia principle gani kudetect speed ya gari.Je ni image ya ile moving object(gari) au change in sound frequency ya object towards an observer (ile tochi)? Au ni nini hasa?
Nimekuwa nikitatizwa sana na hili jambo,naombeni wenye uelewa wanisaididie ili na wengine wenye interest ya kujua wanufaike.
Nataka kujua,ile "tochi" ya matrafiki wa barabarani inatumia principle gani kudetect speed ya gari.Je ni image ya ile moving object(gari) au change in sound frequency ya object towards an observer (ile tochi)? Au ni nini hasa?