asante,ninachotaka kusema hapa ni kwamba tujaribu tu,we have nothing to lose. unapeleka CV yako na ikitokea kazi wanakuita..huku ukiwa unaangalia na sehemu nyingine. pia ni bahati maana kuna wengine wanapeleka baada ya mwezi au miezi miwili wanaitwa,wengine ndio hivyo unakaa hata mwaka kimya.. kwahiyo ni kujaribu tu.
kwa aliye ni PM unatakiwa uende na vyeti original kwa ajili ya kukagua na kuhakiki,halafu unapewa form unajaza sifa zako,contact na kazi unazotaka utafutiwe.baada ya hapo unaomba mungu huku unaendelea kusoma magazeti pia.