Wakaka waliowahi kuwa heartbroken

Wakaka waliowahi kuwa heartbroken

Vannele

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2013
Posts
287
Reaction score
90
Huwa hawajiamini, wanapenda demands za ajabu ajabu na pia hawamuamini mtu...
 
Demand zipi ambazo ni za ajabu? kumbuka ukishaumwa na nyoka hata nyasi ikikugusa unashituka

Daudi, kustuka kwenyewe basi kuwe na mantiki sio kila unyasi ukikugusa basi ujue ndio nyoka... Kuna vitu vingine wanademand hata wao wenyewe hawawezi kuvifanya...
 
Hehe mimi wala nimeshaona hata nyie wenyewe mademu hamjielewi so tulage bata tu and no attachments! Tukipendana saaana basi tunazaa ila ukitaka kugongwa gongwa tu mami!
Nimeona it works very well on my side.
 
Daudi, kustuka kwenyewe basi kuwe na mantiki sio kila unyasi ukikugusa basi ujue ndio nyoka... Kuna vitu vingine wanademand hata wao wenyewe hawawezi kuvifanya...

Unaweza kutupa mifano ya hivyo vitu wanavyovitaka?
 
Hehe mimi wala nimeshaona hata nyie wenyewe mademu hamjielewi so tulage bata tu and no attachments! Tukipendana saaana basi tunazaa ila ukitaka kugongwa gongwa tu mami!
Nimeona it works very well on my side.

That's about the size of it, I suppose!
 
Unaweza kutupa mifano ya hivyo vitu wanavyovitaka?

Wanapenda kusikilizwa kuliko maelezo...anachokitaka kifanyike kisipingwe yani ufanye anavyotaka yeye... ukimchallenge tu anaanza kulinganisha...
 
Daudi, kustuka kwenyewe basi kuwe na mantiki sio kila unyasi ukikugusa basi ujue ndio nyoka... Kuna vitu vingine wanademand hata wao wenyewe hawawezi kuvifanya...

Wanademand ni hicho? tiGO? Luv doesn't ask why,ukiona demu anakasirika kwa vitu vidogovidogo anavyofanya mpenzi wake basi ujue huyo demu ni gold-digger!!! Uhusiano wenu unaenda ukingoni penzi likiwa shatashata hayo mambo hauyaoni....
 
Wanapenda kusikilizwa kuliko maelezo...anachokitaka kifanyike kisipingwe yani ufanye anavyotaka yeye... ukimchallenge tu anaanza kulinganisha...

Lakini mbona ni watu wengi tu wanaopenda kusikilizwa kuliko maelezo...

Na umefanya utafiti gani wa kitakwimu kuhitimisha kwamba 'anachokitaka kifanyike kisipingwe'? Au unaongelelea uzoefu wa watu uliotoka nao wewe tu?

Na unazungumzia kumchallenge kwenye nini/ mambo gani hasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom