Wakaka waliowahi kuwa heartbroken

Wakaka waliowahi kuwa heartbroken

alafu yanakuaga mabahili hayoo!dah

Umenigusa, yaani nilianzaa ubahiri baada ya kuwa heartbroken,,,.. sometimes you give her everything,,, ukipata mdada mwingine....! unaanza kufill kuwa ndo walewale ndo maana tunajihami mapema. kama upo committed ntakuona tu,,,a au umefuata hela au malovedavi? ndo hapo sasa nakulamba hela sikupi then nakumwagilia kule nshatendwa sijari. naita mwingine
 
Mapenzi sio pesa...Nakubaliana na kauli hiyo...Lakini mie pia ni binadamu,kuna kipindi natingwa nahitaji msaada...Sa nikiomba msada ndo unataka uanze kujua mshahara wangu ulitumika vipi hadi umeisha hadi naomba tena pesa...Hii yote eti hutaki kutumia gharama kuhudumia tena msichana ukaja tendwa tena...Sio kila msichana ni Gold digger...Msikariri jombaa.

Na una mshahara? unautumia hadi unaisha?,

Sasa unataka na yeye wakwake uutumia hadi uishe alafu utanitafuta na mimi uutumie wa kwangu hadi uishe au?.

Ma bigi haya.
 
Vannele you have a bigger problem than the man, honestly!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom