Lakini mbona ni watu wengi tu wanaopenda kusikilizwa kuliko maelezo...
Na umefanya utafiti gani wa kitakwimu kuhitimisha kwamba 'anachokitaka kifanyike kisipingwe'? Au unaongelelea uzoefu wa watu uliotoka nao wewe tu?
Na unazungumzia kumchallenge kwenye nini/ mambo gani hasa?
Ok nimekuelewa uzuri wa jambo hilo ni kwamba unakuwa unamjua mgonjwa wako nini kinamsumbua,ukiona anasumbua sana sindano ya usingizi alaleDaudi, kustuka kwenyewe basi kuwe na mantiki sio kila unyasi ukikugusa basi ujue ndio nyoka... Kuna vitu vingine wanademand hata wao wenyewe hawawezi kuvifanya...
Hawawaamini watu kivipi?
Lakini mbona ni watu wengi tu wanaopenda kusikilizwa kuliko maelezo...
Na umefanya utafiti gani wa kitakwimu kuhitimisha kwamba 'anachokitaka kifanyike kisipingwe'? Au unaongelelea uzoefu wa watu uliotoka nao wewe tu?
Na unazungumzia kumchallenge kwenye nini/ mambo gani hasa?
kama ulikuwepo best... ukitaka pesa ujipange...
Hehe mimi wala nimeshaona hata nyie wenyewe mademu
Kuna watu wanakosea ukitoka kutendwa usikimbilie kuanzisha relation Mpya kile kimvuli cha X wako kitaendelea kukufata!! Jipe mda Kama 2or3 yrs then tafuta mtu! Kipindi hicho cha mpito hakikisha umevua chupi Kama watu 10 hivi tena walio kwenye relation zao,,, baada ya hapo ukija pata mwenzio utakua Sawa kbs!! Wakuu jaribuni hio njia mie ilinisadia
kama ulikuwepo best... ukitaka pesa ujipange...
kwan lazim umuombe hela ndgu yangu??!!mtu ukishamjua hakusumbui na mtu km huyo ucmpende saana alaf kumbuk dawa ya jeur ni kiburi akikuudh2 unamsusia wiki nzim no phon no sms mbn atanyooka2!kama ulikuwepo best... ukitaka pesa ujipange...
kwan lazim umuombe hela ndgu yangu??!!mtu ukishamjua hakusumbui na mtu km huyo ucmpende saana alaf kumbuk dawa ya jeur ni kiburi akikuudh2 unamsusia wiki nzim no phon no sms mbn atanyooka2!
ukisusa wenzio wataendelea kula............ watu wanavyoshoboka siku hiz
Kelele zote kumbe shida ni hela tu! Si ungesema moja kwa moja? Na mtaipata, wahongaji wanazidi kuwekwa ndani nje ya nchi kwa sembe. Sijui naniwatawahonga tena. Tafuteni hela zenu bana kwana hamna vichwa vya kufikiria? Kajiuzeni basi ili tujue moja.