Pauline kuna roho inaniambia wewe ni
Ghafla Nguli umekuwa Jabali......makubwa ya 2011
Pauline kuna roho inaniambia wewe ni
Ghafla Nguli umekuwa Jabali......makubwa ya 2011
Mh....!! Kujiamini? Kujiamini kulikwisha siku nimefunga safari kwenda kutongoza kufika huko nikatolewa mbio na mawe.
HAPPY NEW YEAR DEAR JF Members
- Jahmercy
- Diana-DaboDiff
- nyangau
- Uwiano Maalum
- Mabel
- Lizzy
- Rose1980
- It is Sur_Plus
- PingPong
- katelero
- Long'ututi
- Hamuyu
- Lussadam
- pianist
- YanguHaki
- Nyamgluu
- Mamushka
- tzjamani
- Kidogo chetu
- Avanti
- hmethod
- sadique
- Elia
- Dr. Sakis One
- Mr. Miela
- idea
- bacha
- Atoti
- Ambassador
- BLUE BALAA
- Dmp
- kakuruvi
- The Finest
- chichiem
- Zlatanmasoud
- Tuandamane
- deri
- Gwaje
- semmy samson
- Kicheruka
- UTC
- LD
- Mlabondo
- Baba Mkubwa
- FirstLady
- BABA JUNJO
- Eng. Smasher
- laussane
- mkenda1000
- Shedafa
- tracy
- MwanajamiiOne
- Mallaba
- mpalu
- Kashaija
Pauline kuna roho inaniambia wewe ni
mnh nitake radhi tafadhali...yaani unaniona mimi power mabula lols
duh,festiledi avatar yako inakingana na haya unayosema....:embarrassed:
ahahahahaaah!Tatizo haliko kwetu,tunapenda sana kuwatumia PM na hata kuwasemesha,ila tunachohofia ni ukali wenu,mkituahidi kupunguza ukali basi mambo yatakuwa mswano na nitaanza na wewe.
Pauline yaani tabasamu lako kwenye avatar lako linanikosesha usingizi,
Tunapenda kuvuta attention za men lakini wengi hatujajiunga kwa ajili hiyo.
Tuache mambo mengine yatokee bila kulazimisha.
Nawapenda wakaka wa jf sio wasumbufu.