zipu hujalala bado???unless alikuwa anamaanisha vingine nilivyoelewa kuonyeshana uzoefu ni kwenda kuduu na si vinginevyo,sasa hebu uniambie hujawahi kuduu??au umeelewaje???au ni mie ndio sielewi?:embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
yah....mwenzio keshawahi
Pauline yaani tabasamu lako kwenye avatar lako linanikosesha usingizi,
Pauline yaani tabasamu lako kwenye avatar lako linanikosesha usingizi,
Pauline,
Cool down, mwanamama.. umeanza kwa kasi ya ajabu... wala sina nia ya kukusuta mwayaa!! Gonga basiii.
au umechukua kauli mbiu..kasi zaidi,ari zaidi, ........
Sawa wanaJF, poromosheni PM kwa Pauline apate kujisikia raha.. kwa nini tumyime raha, tuwe wakaarimu.
Wajameni mwenzetu anahitaji kusemeshwa ..tumsemeshe...
hahahahaha old is gold mazeee, hujui eeehduh msela una sound za ki longi ile mbaya
duh msela una sound za ki longi ile mbaya
lete za kwako za kileo ile mbayer
Pauline, hivi hilo tatizo la kuhitaji kuwa "noticed, complimented, kudekezwadekezwa," nk, huwa ni tatizo la kiutamaduni (yaani mnajifunza kutokana na mazingira yenu) au ni tatizo la kijinsia (ni hitaji la wanawake wote no mattaer where they are)?
Mi sikujua km ni hitaji kubwa hivyo!
he!hii kali!wadada wanapenda kusemeshwa njiani!avatar nzuri ili kudraw attention!wanapenda pm!basi wacha nijiite wiseman maana hizo sifa kwangu haziapply.