pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
- Thread starter
- #21
Sitasita kamwe kama Kuwa PM,kuwapongeza, kuwasifia ila naweza pongeza mtu kumbe mwanaume maana humu usipokuwa makini unaweza MP mwanaume mwenzio ukimwambia mdada umependeza.
hilo nalo neno,ila km ni mwanaume akaweka avatar ya kike huyo atakuwa na matatizo!!:redfaces::redfaces: