Wakaka: Tafuta hela badala ya mke mzuri

Wakaka: Tafuta hela badala ya mke mzuri

Nilimuuliza mke mmoja wa tajiri sasa wewe kwa nini unataka kutembea nje ya ndoa yako...Akaniambia jamaa ana kisukari ana presha so game apigi kabisa manuu sasa mi nifanyaje, We ungemjibuje? Huyo jamaa anakila kitu magari, majumba, na miradi mikubwa tu na mke wake ni director kwenye hiyo miradi yao...
Kisukar,,,,,dah
 
'The beautiful ones are not yet born' kuna madogo wakikaa vijiweni kwao. wanadanganyana sana! mara utasikia 'Mimi lazima nipate demu mkali nikipata channel/kazi/biashara' dogo umewahi jiuliza gharama za kuendelea kuutunza uzuri wa huyo demu unayemtaka? au unadhani mtakula huo uzuri?

Umewahi elewa kuwa uzuri unafifia na wazuri wengine wanazidi kuzaliwa? My solid advice tafuta hela za kutosha hizi story za kutafuta hela pamoja na mke sio. ukipata hela utapata aina ya mwanamke umtakaye, pia watakutafuta kuliko wewe kuwasaka bila pesa.ukifanikiwa utafanyakazi ya kuchagua mpwa.

Unaosikia wanahaha mtaani na kuchapiwa ni wale walio kurupuka kuoa na kushindwa kumudu kutunza uzuri wa wake zao wanasaidiwa na wenye visu.So madogolasi kaza buti kipaumbele kiwe hela totoz nzuri tuachie wakubwa zenu,wenu hawajazaliwa bado.

Nice&lovely week end
si wamesema WAKIPATA channel/kazi/biashara [emoji12]
 
Inategemea lakini

Sio unatoa tu pesa then huna muda na mimi
Sasa ukitaka tushinde wote ndani.. Muda wa kutafuta pesa utatoka wapi.. Pesa pia inahitaji muda wangu mwingi kuipata...
 
Sasa ukitaka tushinde wote ndani.. Muda wa kutafuta pesa utatoka wapi.. Pesa pia inahitaji muda wangu mwingi kuipata...
Kuhitaji muda wako haina mana kwamba utakua unashinda ndani namie.

Na huwezi kua bze 24/7 hours,
 
Kuhitaji muda wako haina mana kwamba utakua unashinda ndani namie.

Na huwezi kua bze 24/7 hours,
Any real cash money man.. Must work atleast 16/7 hapo hujaweka muda wa kulala.. Sasa wanawake wenyewe wa siku hizi mapenzi ya instagram... Sidhani kama wataweza kuwamudu gents of tht kind.. Likizo only 3 weeks per year.
 
Nilimuuliza mke mmoja wa tajiri sasa wewe kwa nini unataka kutembea nje ya ndoa yako...Akaniambia jamaa ana kisukari ana presha so game apigi kabisa manuu sasa mi nifanyaje, We ungemjibuje? Huyo jamaa anakila kitu magari, majumba, na miradi mikubwa tu na mke wake ni director kwenye hiyo miradi yao...
Ningemwambia naomba anipishe nukawe Mke wa tajiri
 
Utatafta hela, utazipata na utachapiwa vile vile.

Principle yangu ni moja tu. Tokea nizaliwe sijawahi date seriously mwanamke ambaye family background yao ya kif*la f*la...yan ukute dem mzuri lakini kwao choka...NEVER, utajuta na kulia sanaa ndugu.

Kuna mwanamke nliwahi kua nae....yuko poa sanaa, msomi, good family backgrounds alitokea kunielewa mnoo nd was very loyal & true to me na kibaba nlikua kawaida tu bado sijaeleweka mjini hapa....kwa sabab flan za distance uhusiano ukafifia na kuisha but we still talk.

If you pick the right material, Hela si chochote kwa mtu anayejielewa muhimu ni nidhamu ya maisha, kujitambua na juhudi basi.
 
Utatafta hela, utazipata na utachapiwa vile vile.

Principle yangu ni moja tu. Tokea nizaliwe sijawahi date seriously mwanamke ambaye family background yao ya kif*la f*la...yan ukute dem mzuri lakini kwao choka...NEVER, utajuta na kulia sanaa ndugu.

Kuna mwanamke nliwahi kua nae....yuko poa sanaa, msomi, good family backgrounds alitokea kunielewa mnoo nd was very loyal & true to me na kibaba nlikua kawaida tu bado sijaeleweka mjini hapa....kwa sabab flan za distance uhusiano ukafifia na kuisha but we still talk.

If you pick the right material, Hela si chochote kwa mtu anayejielewa muhimu ni nidhamu ya maisha, kujitambua na juhudi basi.
Upo sawa
 
Back
Top Bottom