Wakaka: Tafuta hela badala ya mke mzuri

Wakaka: Tafuta hela badala ya mke mzuri

Haya mambo hayana formula kuna watu wana hela na wanachapiwa vile vile.....Wewe ni afadhali uwashauri vijana watafute pesa kwa maisha yao mazuri ila sio kwa ajili ya kupata mke mzuri.
yap.vijana wakomae na malengo ya hela.
 
Ok! Ok! Ok! Tutatafuta pesa..Lakini pesa sio kigezo cha kumpata mwanamke mzuri Bro!!...
Vizuri vina wengi na vizuri ni vibovu..Tushauri tutafute pesa tuwajali wake zetu na familia hata kama mwanamke sio mzuri..
 
Ok! Ok! Ok! Tutatafuta pesa..Lakini pesa sio kigezo cha kumpata mwanamke mzuri Bro!!...
sio kigezo veepe? huoni.akina Mzee IPP.anakula kitu roho inapenda?.au ma model wa ulaya unadhani wanaolewa na kapuku? au hapa hapa Bongo ushaona miss Tanzania/universe/tourism ana hangaika na madogo wasio na hela? Wema katoa mimba ya yule baby boy unafikiri kwanini? MAWE ndio mpango mzima.
 
sio kigezo veepe? huoni.akina Mzee IPP.anakula kitu roho inapenda?.au ma model wa ulaya unadhani wanaolewa na kapuku? au hapa hapa Bongo ushaona miss Tanzania/universe/tourism ana hangaika na madogo wasio na hela? Wema katoa mimba ya yule baby boy unafikiri kwanini? MAWE ndio mpango mzima.
Kwa hiyo tutafute pesa tukaoe masuperstar eee hao ni wakupiga brush za kutosha then inabaki story tu najua hatutafika nae mbali
 
nyie ndio mnafanya mapenzi yanakuwa magumu magumu ebooo...mapenzi hayataki ushauri
 
Nilimuuliza mke mmoja wa tajiri sasa wewe kwa nini unataka kutembea nje ya ndoa yako...Akaniambia jamaa ana kisukari ana presha so game apigi kabisa manuu sasa mi nifanyaje, We ungemjibuje? Huyo jamaa anakila kitu magari, majumba, na miradi mikubwa tu na mke wake ni director kwenye hiyo miradi yao...
 
Kwa hiyo tutafute pesa tukaoe masuperstar eee hao ni wakupiga brush za kutosha then inabaki story tu najua hatutafika nae mbali
kweli mastar wa kupiga na kuingia mitini[emoji3] [emoji2] [emoji3]
 
nyie ndio mnafanya mapenzi yanakuwa magumu magumu ebooo...mapenzi hayataki ushauri
mzaramo.ushauri muhimu.kuna wanaojiua kwa kukosa ushauri wa maswala ya mapenzi.acha tuwasaidie bure
 
Nilimuuliza mke mmoja wa tajiri sasa wewe kwa nini unataka kutembea nje ya ndoa yako...Akaniambia jamaa ana kisukari ana presha so game apigi kabisa manuu sasa mi nifanyaje, We ungemjibuje? Huyo jamaa anakila kitu magari, majumba, na miradi mikubwa tu na mke wake ni director kwenye hiyo miradi yao...
Hayo ni majaariwa.huo ni ugonjwa hata lofa anawezapata.na akashindwa majukumu yake ya unyumba.lkn kijana ukikosa hela na ndoa inavurugika laivu.
 
sio kigezo veepe? huoni.akina Mzee IPP.anakula kitu roho inapenda?.au ma model wa ulaya unadhani wanaolewa na kapuku? au hapa hapa Bongo ushaona miss Tanzania/universe/tourism ana hangaika na madogo wasio na hela? Wema katoa mimba ya yule baby boy unafikiri kwanini? MAWE ndio mpango mzima.
Kumbe Mimba ilitolewa eeenh,aisee Nifah umeinyaka hii???
 
Back
Top Bottom