swaki la jiti
Member
- Oct 6, 2017
- 97
- 60
Heshima kwenu wakuu.hivi kesi ambayo imepelekwa mahakamani kusomwa,na kesi hiyo ikawa inaghairishwa kila Siku ya kusomwa kutokana na uchunguz kutokamilika,huwaga inafikia Mara ngapi kama uchunguzi hujakamilika mpaka kesi inafutwa? Natanguliza shukrani.