Alikua anatumia style inaitwa "KATA' hii ni style ngumu sana kujifunza...na tunaiweza wachache.Yaani kajamaa kamekakamaa kinoma
ili asinye.
Acha kudanganyika yule jamaa inasadikika chanzo kikubwa cha kifo chake ni uvimbe ambao ulijitengeneza kwenye ubongo wake kwa sababu alizidisha mazoezi kupita kiasi.Kitendo cha kukakamaa ni mbinu za kikarate kwenye kuutia ganzi mwili ili mwili uwe kama resistance kwa pigo kutoka kwa adui pia inasaidia kwenye kuachia effective pigo kwa adui.Picha na video nyingi za Bruce Lee ni za kwwnye movies na sio za maisha yake halisi
Na wewe ni NINJA?Alikua anatumia style inaitwa "KATA' hii ni style ngumu sana kujifunza...na tunaiweza wachache.
Sawa doniyeniAcha kudanganyika yule jamaa inasadikika chanzo kikubwa cha kifo chake ni uvimbe ambao ulijitengeneza kwenye ubongo wake kwa sababu alizidisha mazoezi kupita kiasi.Kitendo cha kukakamaa ni mbinu za kikarate kwenye kuutia ganzi mwili ili mwili uwe kama resistance kwa pigo kutoka kwa adui pia inasaidia kwenye kuachia effective pigo kwa adui.
Hapana...ila style anayo izungumzia nimejifunza kipindi na pasha karate,kick boxing,boxing..Na wewe ni NINJA?
MopaoStyle ya jackie chan inaitwaje?
Bruce alikuwa anapigana na kuigiza reality, kipindi kile hakuwa na mambo mengi ya kusaidiwa na mixers za computer..kama sasa.Watalaam wa karate naomba mnisaidie hili, Ni kwa sababu gani Bruce Lee akiwa anapigana alikuwa anajikaza Sana mwili na kutoa sauti Kama za paka, Mara apige kelele za ajabu.
Yaani kajamaa unkuta kamekakamaa yaani.